Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulibahatika kusoma shule za mchanganyikeni utagundua kwamba mara nyingi wanawake miandiko yao inafanana sana,tofauti kidogo na wanaume wanakuwa na handwritting tofauti tofauti.
Unaweza kutazama tu notes fulani ukajua either ni mwanaume au mwanamke kaandika.
Pia nadhani ulishakutana na mtu anasema fulani anaandika mwandiko wa kike!!
Chunguza ndugu zako wakike miandiko yao,au mkeo au hata rafiki wa kike utagundua kwa kiasi fulani wana fanana miandiko(in most cases).
Mfano mwandiko hapo chini nikiuliza ni jinsia gani kaandika wengi watasema ni msichana.
![]()
Na huu hapa mtasema ni mwanaume.
![]()
Kwa nini iwe hivyo?
Wanajifunzia wapi?
Sasa kama uliweza kuclassify vizuri kabisa kua Au labda ni asili unataka ugunduzi wa kisayansi tena wa nini?au ni nini?
Kea nini wanawake kutembea wanafanana kutembea wana fanana, mambo yao yanafanana na hio Inamaanisha nini?
NAWASILISHA.
Mzee wa kuisiSomehow umeni convince halafu nahisi pia wanawake mambo yao ni ya kuremba sana,ukitizama viatu,nguo , n.k ni watu wanaopendelea kuremba vitu vyao nahisi labda hata miandiko yao wanaremba.
Nahisi hii miandiko inaelezea kitu Fulani amabacho ni halisi either tabia n.k.
bangiKwasbb wanawake wanafanana tabia. Kwahiyo ni rahisi.
Mkuu mm ni mtu wa fasihi kwahiyo umenipa wakati mgumu sana kwa ID yako. Mchicha pori unajua maana yake? Achana na maana ya msingi, nazungumzia maana ya ziada.
Huwa tunavuta na mke wako. Hata jana nilikua nayebangi
wewe jamaa ni mjinga sana,pole kwa wanaokuzunguka aisee!Huwa tunavuta na mke wako. Hata jana nilikua naye
Unaijua fasihi?
Kwa vile ww ni Bashite wala sikushangai. Pole sana
Nenda darasani ukasome upya.
Nani kakupa ruhusa ya kuniquote? Una quote watu ovyo angalia usije ukapata mi.......mb.....a halafu ukaanza kunilaumu
Pole yako. Unajua maana ya mchicha pori. Au unaandika ili upate umaarufu kupitia mm? Mtoa uzi ameelewa nilichokiandika. Toa na ww uzi wako ili nije nikitoe povu.wewe jamaa ni mjinga sana,pole kwa wanaokuzunguka aisee!
Siku nyingine unapo log in Jf angalia pa kuchangia. Mambo ya facebook yaache huko huko. Humu ni magreat thinker tu japo wenye upuuzi km ww wapo.wewe jamaa ni mjinga sana,pole kwa wanaokuzunguka aisee!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] acha masiharaWanawake ambao bado ni bikra miandiko yao ipo kama ya kiumr ila wakishavunjwa inakuwa kama ya kike sana
Mzee wa kuisi
kuhisiMzee wa kuisi
Kama ulibahatika kusoma shule za mchanganyikeni utagundua kwamba mara nyingi wanawake miandiko yao inafanana sana,tofauti kidogo na wanaume wanakuwa na handwritting tofauti tofauti.
Unaweza kutazama tu notes fulani ukajua either ni mwanaume au mwanamke kaandika.
Pia nadhani ulishakutana na mtu anasema fulani anaandika mwandiko wa kike!!
Chunguza ndugu zako wakike miandiko yao,au mkeo au hata rafiki wa kike utagundua kwa kiasi fulani wana fanana miandiko(in most cases).
Mfano mwandiko hapo chini nikiuliza ni jinsia gani kaandika wengi watasema ni msichana.
![]()
Na huu hapa mtasema ni mwanaume.
![]()
Kwa nini iwe hivyo?
Wanajifunzia wapi?
Au labda ni asili au ni nini?
Inamaanisha nini?
NAWASILISHA.
In most cases miandiko yao hufanana,sauti ni kimaumbile zaidi ila about handwriting ni Shuleni,that is why I was asking myself.Miandiko Huwa Haifanani, Jaribu Kuchunguza Vzr Ila Art Zinafana. Ni Km Sauti, Ya Mwanamke Utaijua Tu Lkn C Kuwa Nazo Znafanana, Ndo Maana Wanawake Wengi Wanaimba Sauti Ya 1 Na 2 Wkt Wanaume Wengi 3 Au 4. Turudi Kwenye Mwandiko; Mwandiko Huja Kutokana Na Namna Unavyoikamata Kalamu, Aiadha Kwa Position Au Kwa Strength. Wanawake Wengi Hushika Karamu Sehemu Ya Chini Kabisa Au Kwa Nguvu Wkt Wanaume Juu Kidogo Au Sana Na Wengine Hulegeza Na Kuinamisha Peni Na Kulaza Mwandiko. Km Ilivo Kwa Sauti Kuna Wanawake Wanaoimba Bass, Pia Wapo Wanawake Wenye Art Ya Kiume. Pia Km Ilivo Kwa Wanaume Wenye Saut Ya Kike Pia Kuna Wanaume Wenye Art Ya Kike Ktk Kuandika.
Miandiko ya wazungu wa kike pia hufanana Kwa wao Kwa wao na inataka kuelekeana kwa mbali na ya wanawake wetu.Miandiko ya watu wa mataifa ya magharibi ni gender-neutral. Pia sijawahi kuona mwandiko wa mwanamke mzungu unaofanana na miandiko iliyo mingi ya wanawake waswahili.
Huo mfano wa pili, kwa mfano, unaweza kuwa mwandiko wa mzungu wa kike au wa kiume.
And my point was tunatambua miandiko ya kike na kiume,Kwa nini tunatambua?Miandiko Huwa Haifanani, Jaribu Kuchunguza Vzr Ila Art Zinafana. Ni Km Sauti, Ya Mwanamke Utaijua Tu Lkn C Kuwa Nazo Znafanana, Ndo Maana Wanawake Wengi Wanaimba Sauti Ya 1 Na 2 Wkt Wanaume Wengi 3 Au 4. Turudi Kwenye Mwandiko; Mwandiko Huja Kutokana Na Namna Unavyoikamata Kalamu, Aiadha Kwa Position Au Kwa Strength. Wanawake Wengi Hushika Karamu Sehemu Ya Chini Kabisa Au Kwa Nguvu Wkt Wanaume Juu Kidogo Au Sana Na Wengine Hulegeza Na Kuinamisha Peni Na Kulaza Mwandiko. Km Ilivo Kwa Sauti Kuna Wanawake Wanaoimba Bass, Pia Wapo Wanawake Wenye Art Ya Kiume. Pia Km Ilivo Kwa Wanaume Wenye Saut Ya Kike Pia Kuna Wanaume Wenye Art Ya Kike Ktk Kuandika.
Miandiko ya wazungu wa kike pia hufanana Kwa wao Kwa wao na inataka kuelekeana kwa mbali na ya wanawake wetu.
Sikubaliani na wewe wazungu hao hao walifanya research ya miandiko katika kutofautisha zaidi ya 65% watu walikuwa accurately kukisia either writer male or female.Miandiko ya watu wa mataifa ya magharibi ni gender-neutral. Pia sijawahi kuona mwandiko wa mwanamke mzungu unaofanana na miandiko iliyo mingi ya wanawake waswahili.
Huo mfano wa pili, kwa mfano, unaweza kuwa mwandiko wa mzungu wa kike au wa kiume.