Kakungulume
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 213
- 54
naomba msaada wenu wana jf mnisaidie maoni.
Mimi nina gf wangu akikosea usimwambie, ukimwambia umekosea kufanya jambo fulani basi
hapo atatafuta kila njia na namna na wewe uonekane kukosea ili aseme mbona wewe umefanya vile
na vile, hata kukusingizia kosa kwa mfano; nimekuona na msichana mwingine sehemu fulani ili mradi tu
apate kianzio cha kukushutumu....
Hivi hii ni kwa wanawake wote au kwa huyu wangu tu?
Wala hatuko hivyo huyo wako ana ka tabia ka ajabu sana ..ila jitahidi ajirekebishe kabla hakajazaa mambo makubwa ..hii mambo ya mbona mbona sio fresh kabisa .
Awe anakubali kosa kama amekosea aombe msamaha na ajirekebishe ,na wewe kama kweli umekosea akwambie na kuwa anasema mbona wewe ulifanya hivi mara vile .
Hiyo ipo kwa baadhi ya wanawake, sio wote kaka..
anakukumbusha kama hata wewe unakoseaga!!! stop criticizingWengine wanakumbushia makosa ambayo yalishasamehewa na kusahaulika kitambo. Utasikia "wewe umesahu ulivyonifanyia wakati ule?" So what, unalipa kisasi?
anakukumbusha kama hata wewe unakoseaga!!! stop criticizing
kama mapacha vile ?
Safari_ni_Safari
JF Senior Expert Member
Join Date Fri Oct 2007
Posts 1,066
Thanks : 6
Thanked 343 Times in 217 Posts
Safari
Member
Join Date Fri Dec 2007
Location Dar es Salaam
Posts 45
Thanks : 1
Thanked 0 Times in 0 Posts
I am not criticizing, but rather raising a point. Hii inaapply either way. Kama kila jambo likitokea mnakumbushia past mistakes hii ligi haitakuwa na mwisho na wala hamtajenga. Kwa nini ulijimbikizie mzigo wa mambo yaliyoisha moyoni? Unless ulisamehe lakini hukusahau. Kama umekosea omba msamaha, sio kutumia makosa yangu kujustify makosa yako!anakukumbusha kama hata wewe unakoseaga!!! stop criticizing