Kakungulume
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 213
- 54
Naomba msaada wenu wana JF mnisaidie maoni.
Mimi nina GF wangu akikosea usimwambie, ukimwambia umekosea kufanya jambo fulani basi
hapo atatafuta kila njia na namna na wewe uonekane kukosea ili aseme mbona wewe umefanya vile
na vile, hata kukusingizia kosa kwa mfano; nimekuona na msichana mwingine sehemu fulani ili mradi tu
apate kianzio cha kukushutumu....
Hivi hii ni kwa wanawake wote au kwa huyu wangu tu?
Mimi nina GF wangu akikosea usimwambie, ukimwambia umekosea kufanya jambo fulani basi
hapo atatafuta kila njia na namna na wewe uonekane kukosea ili aseme mbona wewe umefanya vile
na vile, hata kukusingizia kosa kwa mfano; nimekuona na msichana mwingine sehemu fulani ili mradi tu
apate kianzio cha kukushutumu....
Hivi hii ni kwa wanawake wote au kwa huyu wangu tu?