kuna wanaume wengine wanajua kukuna hadi m/ke anachanganyikiwa we haujampata tu!!
kuna mdau yeye kazi yake kuwaoa hawa wamama hasa wajane,,,,,,hivi karibun anataraj kufunga ndoa na mma mmoja aloachiwa ghorofa kariakoo,,,,,,lakini tayar ana wake wawil wa dizain hiyo mmoja ana nyumba 3 hapa mjini ameachiwa na mumewe aliyefariki,,,,ana carina T.i moja basi anakula bata tu,,,,