kuna wanaume wengine wanajua kukuna hadi m/ke anachanganyikiwa we haujampata tu!!
Hujapata wakukuhonga, mbona utajutia kauli yako hiyo...
Jamanieee dakika ya 12 Chelsea 0 Newcastle 0!!
kuna wanaume wengine wanajua kukuna hadi m/ke anachanganyikiwa we haujampata tu!!
Mie huyu?
Na akili yangu timamu nilee kidume?
Nani anataka kujiongezea matatizo....
Mpango wa mie nikupe hela halafu ukahonge nautaka sasa?
Nikikupa sh 50,000 ujue utarudisha 500,000!!!!!
Tena be vere vefe careful nikikuhonga, utailipa tu, in a way ambapo huyojua kama umelipa....??
Chezea BT weye....... Angalau my hubby naweza kumpa, ila sio ndo ageuze mtaji, mara moja baada ya miezi kadhaa sii mbaya.......
lakini kiserengeti boy? Thubutuuuuuuuuuuuuu
Hivi unajua kuna twin wangu aliibiwagwa hospitali mama alipotuzaa? Ama ni wewe?
mpango mzima ukipewa milioni ujue kuna milioni tano utaitoa bila hata kujijua. Tulia unyolewe Bishanga, unadhani sie ni kama huyo mkeo wa kanyigo. Muambie wenzie mwanaume akituudhi tunambeba na mbeleko manake tunajua malipo yake hehehe
Hivi unajua kuna twin wangu aliibiwagwa hospitali mama alipotuzaa? Ama ni wewe?
mpango mzima ukipewa milioni ujue kuna milioni tano utaitoa bila hata kujijua. Tulia unyolewe Bishanga, unadhani sie ni kama huyo mkeo wa kanyigo. Muambie wenzie mwanaume akituudhi tunambeba na mbeleko manake tunajua malipo yake hehehe
mnanunua mb... kwani siri?
kuna mdau yeye kazi yake kuwaoa hawa wamama hasa wajane,,,,,,hivi karibun anataraj kufunga ndoa na mma mmoja aloachiwa ghorofa kariakoo,,,,,,lakini tayar ana wake wawil wa dizain hiyo mmoja ana nyumba 3 hapa mjini ameachiwa na mumewe aliyefariki,,,,ana carina T.i moja basi anakula bata tu,,,,
Hera ya gas ,shopping,nunilia gari why
Mie huyu?
Na akili yangu timamu nilee kidume?
Nani anataka kujiongezea matatizo....
Mpango wa mie nikupe hela halafu ukahonge nautaka sasa?
Nikikupa sh 50,000 ujue utarudisha 500,000!!!!!
Tena be vere vefe careful nikikuhonga, utailipa tu, in a way ambapo huyojua kama umelipa....??
Chezea BT weye....... Angalau my hubby naweza kumpa, ila sio ndo ageuze mtaji, mara moja baada ya miezi kadhaa sii mbaya.......
lakini kiserengeti boy? Thubutuuuuuuuuuuuuu