BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
mfungwa hachagui jela,mwenye njaa hashauriki, mkiwatupia kitumbua wanaokota tu,njaa mbaya,nasikia mnawapa simy,vocha,gest mnalipa,kisa?
Hao wajane waume zao walikufa na maradhi gani?
kuna mdau yeye kazi yake kuwaoa hawa wamama hasa wajane,,,,,,hivi karibun anataraj kufunga ndoa na mma mmoja aloachiwa ghorofa kariakoo,,,,,,lakini tayar ana wake wawil wa dizain hiyo mmoja ana nyumba 3 hapa mjini ameachiwa na mumewe aliyefariki,,,,ana carina T.i moja basi anakula bata tu,,,,
Simple, wanaume wengi siku
hzi hawataki kujishughulisha, wanapenda kulelewa so,wanajitegesha kwa
wamama wa watu na wakipata chance tu wanajituma kweli kweli ili walelewe
vizuri.
Lady Jay Dee aliwaimbaga nadhani akawapa kajina kazuri nimekasahau,
mwenye kumbu kumbu atatukumbusha.
Hilo nalo neno.
wanaume kama mabinti