my simple biology;
1.wanyama hawana varieties za vyakula so hawakumbani na michanganyiko ya ajabu.
2. pia wao kinywaji chao ni maji tu bali sisi tuna soda, bia, chai nk hapa napo ni chanzo cha kuupelekesha puta mwili
3. wanyama hawatafakari na hawana ufahamu wa kujipa presha ya kuwa na stress, stress=presha. binadamu tunapresha za mapenzi, maisha, majanga nk
nimejaribu