Kwa nini wanyama hawaugui ugonjwa wa moyo (pressure)

Kwa nini wanyama hawaugui ugonjwa wa moyo (pressure)

Nikupateje

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2009
Posts
1,334
Reaction score
989
Hivi ulishawahi kusikia mnyama akigua au kufa kwa ugonjwa wa moyo kama pressure?

Ninaposema mnyama nina maana asiye binadamu lakini ana moyo kama vile mbwa, ng'ombe, sokwe.

Sasa kama wanyama hawauugui ugonjwa huo wakati wana moyo unaodunda na kupitisha damu kwenye mishipa kama wa binadamu, kwa nini sasa ugonjwa huo ambao si wa kuambukiza uwapate binadamu tu?
 
Great apes kama gorillas wanauguwa maradhi ya moyo

Madaktari wanasema wanyama hao hupata ugonjwa wa shinikizo la damu, cholesterol na heart failure

Ila hawa zaidi ni kwa wale wanyama wasioishi kwenye mazingira yao ya asili
 
mkuu nikupataje, hii mada ni ya ,malawi au tz??
 
mkuu nikupataje, hii mada ni ya ,malawi au tz??
 
my simple biology;
1.wanyama hawana varieties za vyakula so hawakumbani na michanganyiko ya ajabu.
2. pia wao kinywaji chao ni maji tu bali sisi tuna soda, bia, chai nk hapa napo ni chanzo cha kuupelekesha puta mwili
3. wanyama hawatafakari na hawana ufahamu wa kujipa presha ya kuwa na stress, stress=presha. binadamu tunapresha za mapenzi, maisha, majanga nk

nimejaribu
 
Back
Top Bottom