kenyamanyori
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 734
- 326
Ni kwakuwa hata upande wa wataalamu wa afya pamoja na vifaa vya afya maranyingi tunategemea kenya.leo hadi msemo "Kama kawaida" wengine wameubatiza "Kama kenya"
Uganda kumekuwa na Uchaguzi, umepita kimya...
Rwanda sijasikia hata kada au kamanda kagusa chigali kupiga promo.
Burundi hata ukiweka swali la interview Mpinzani mkuu ni nani huko Ufipa nzima wanakula F.
kwa nini kenya?
mbona wao huwa hatuwaoni wakikomaa hivyo kama huku...
Je Tanzania bila kujifananisha na kujilinganisha na kenya kwenye kila kitu haiwezekani?
NAWAZA
Wewe umeuliza swali gani?
Kenya ni tofauti sana na nchi nyingine za Afrika mashariki, hakuna mkumbo Kenya ni hoja.Hata wakati wa kampeni Kenya ilikuwa rahisi kujua nani alikuwa madarakani na nani hkuwa madarakani, kwamba aliyekuwa madarakani alikuwa anashawishi kura kwa kuanisha nini amekifanya kwa manufaa ya wakenya katika kipindi kinachoisha na anakusudia kufanya nini akipewa nafasi tena. Wakati aliyekuwa anataka kuingia alikuwa anaeleza aliyekuwepo ofisini alishindwa nini na yeye akipewa nafasi anakwenda kufanya nini. Hapa kwetu huwezi kujua tofauti hiyo kwa kuwa kilammoja utadhani ndio kwanza anawania nafasi.Halafu vyombo vya ulinzi na habari havinaga ubaguzi, Lakini pia unaona kabisa uhuru wa vyombo vyenye mamlaka mbalimbali katika utekelezaji majukumu. Hizi ni baadhi ya sababu za wengi wetu kuipenda Kenya kwa namna wanavyoendesha siasa. ingawa dosari ni pale mtu alipo uawa na kukatwa viganja vya mkono.leo hadi msemo "Kama kawaida" wengine wameubatiza "Kama kenya"
Uganda kumekuwa na Uchaguzi, umepita kimya...
Rwanda sijasikia hata kada au kamanda kagusa chigali kupiga promo.
Burundi hata ukiweka swali la interview Mpinzani mkuu ni nani huko Ufipa nzima wanakula F.
kwa nini kenya?
mbona wao huwa hatuwaoni wakikomaa hivyo kama huku...
Je Tanzania bila kujifananisha na kujilinganisha na kenya kwenye kila kitu haiwezekani?
NAWAZA
Safi sana umemjibu kulingana na akili yake ilivyoMuulize dingi yako
Umejibu vizuri sana mkuu hili ndo jawabuHata wakenya wanahusudu sana mambo ya Tanzania.
Nchi hizi Ni jirani na zaidi zinashare lugha moja.
Hizi ndo sababu zinazoleta muingiliano wa ukaribu kati ya Tz na Kenya.
Ukifatilia media za Kenya muda mwingi wanafuatilia masuala ya Tz hali kadhalika midia za kwetu
Noted
Hawa CCM ni vilaza sanaSafi sana umemjibu kulingana na akili yake ilivyo