Kwa nini Watanzania Tunahusudu mambo ya Kenya kuliko nchi nyingine EA

Sisi na Kenya karibia 80% tuna share mambo mengi, kama vile lugha, market, utalii, mazingira, mito, transport, uchumi, biashara, tamaduni, na historia kwa hio usishangae ni kitu kinatokea automatically.
 
Kenya pia, sijui niseme baadhi yetu au niseme mimi? Tunafatilia sana maswala ya watani wetu wa jadi, Tz. Cha kutamausha ni kwamba hatuaminiani, hatuinuani wala kushirikiana inavofaa kwa maendeleo ya E.A! Tumefata mikondo tofauti katika kuchagua viongozi wetu. Mi ni mkenya lakini nammiss sana J.Kikwete, yeye na U.Kenyatta walikuwa wanaelewana vizuri tu! Kikwete pia aliwafahamu wakenya vyema sana na aliheshimika na serikali ya Kenya na pia upinzani.
 
Tujifananishe na nchi kama rwanda,burundi,uganda ili tujifunze nn sasa,...kenya tunamambo meng ya kujifunza wametuacha mbali katk kila idara kiuchumi,kiutandawazi,ki sayansi na kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wamewageuza vijana wengi kuwa kama mazombie hawajui wapende nini wapinge nini au waunge mkono nini na kwa wakati gani maana kila sekunde utasikia nyuma geuka, kuanzia sasa penda ulichokua unakichukia, pinga ulichokuwa unasisitiza.
Mi naona aata bora wa upinzani aisee kuliko sisis wa ndiyo mzee kila kitu kiwe hakina kichwa wala miguu sisi ni wazee wa ndiyoo mzee,..na hichi kitu kinaniuzi sana ndani ya CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya Kenya ni sisi
Na kwa sasa Kenya watatuacha miaka 1000
 
Kuna nini cha sisi Watanzania kujifunza kutoka Uganda, Rwanda na Burundi kuliko Kenya?
Demokrasia na siasa nzuri?
Maendeleo na uchumi?
Ujirani na mahusiano mema?
Maingiliano mengine (undugu, kuolena, kutembeleana, kutaniana)?
Uerevu (exposure)?
Hata uugwana na Tanzania una ufanano na Kenya kuliko hizo nchi nyingine. Kenya wametuzidi mno kwenye mambo mengi, mengi mno kiasi kuwa wao kuwa sehemu ya sisi kujifunza ni sawa tu.

Pamoja na matatizo yao ya ukabila, u-much-know, kiburi na majigambo lakini tuna mengi ya kujifunza toka kwao. Kenya tunawazidi katika bongofleva labda na uvivu!!
 
Hata wao wanasema "Kama Maghufuli".
 
ni nchi yenye ufananishpo kabisa na tz duniani...thats why after kenya, my second home is tz...tunazungumza lugha moja...tuna mengi ambayo tunafanana...we have a lot in common...plus kenya is the most influential nation in EA, economically, politically and socially
 
Lazima tufanye reference Kenya maana ninyi akili mbovu mnakera mno kwa jinsi mnavyoipeleke nchi..
Nchi inaendeshwa hovyo hadi wananchi hawana ham..
Na kwa akili kama zako ndio inadhihirisha how boggas are you..
 
Lazima tufanye reference Kenya maana ninyi akili mbovu mnakera mno kwa jinsi mnavyoipeleke nchi..
Nchi inaendeshwa hovyo hadi wananchi hawana ham..
Na kwa akili kama zako ndio inadhihirisha how boggas are you..
povu...akili mbovu ni yako ww hapo unaandika ujinga
 
Hayo ni mawazo yako wewe...na hatuwezi kuyapinga...sababu hatujui magonjwa gani uliugua utotoni yakapelekea ubongo wako kuathirika kwa kiasi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…