kwa nini watoto wengi wanaozaliwa miaka ya sasa ni wa kike?

kwa nini watoto wengi wanaozaliwa miaka ya sasa ni wa kike?

unataka kumpindua mwalimu wetu gfsonwin??

LOL, y-sperms have higher mobility and lower 'lifespan' than x-sperms.

mzodoe huyo, analeta mambo ya 'kijiweni'. BTW how was your christmas?
mwalimu wenu mie simuwezi, hii kazi ya kufundisha mabata madogodogo sio fani yangu. Mie nafanya training not teaching. Wazee vijeba mnaelekezana tu na kumake sense afu wanakununulia biya mnamaliza jioni vizuri.
My xmas was superb, sitamani iishe. Kama una ufundi wa kudelay tarehe 2 nitashukuru (ofcoz na kufreeze account ili nisiishiwe, lol)
 
Last edited by a moderator:
Asante mwalimu. Ndo shule za mabata madogomadogo, mie nategemea nikisema y zinakufa upesi japo zina nguvu zaidi kila mtu anaelewa.
We need teachers aisee. Shukrani tena kwa kudadavua genetics, lol
King'asti umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja tu hapa naomba niliweke sawa X-'some is lazy compared to Y-'some. ingawa X ana mitochondria nyingi ukimkompea ya Y. sasa wakati wa copulation sperm inapotoka inatoka ikiwa na X&Y while ova ana X&X. Sasa basi kuna jambo moja la ajabu sana ambalo hutokea nalo ni X&Y "somes kutoka kwa male kucompete kwenda kwa ova kwajili ya fertilization. wakati wa hii competition Y huwa anakuwa na mbio sana kwasabbu ya wepesi wake na ufupi wake pia. ila sasa akifika na kukuta ova better for it itaingia ndani na kufanya fertiliation. inapotokea sasa hakuna ova Y huyu hufa baada ya masaa tu kwani anakuwa tayari amekwisha exhaust nguvu yote. na hapa ndipo X'some anapopata nafasi yake ya kupaka wanja. huyu atakaa hapa hata 3 days kusubiria an ova na lisipotokea ndipo hufa ila kama ova kitokea basi fertilization hufanyika kama ilvyokusudiwa tu.

sasa ukimuona baba anazaa madume tu ujue siku anazo fanya copulation ni siku ambazo tayari mama ameshatoa ova kwaajili ya ferilization. ukiona anapata wa kike tu ujue basi huwa anafanya ferilizaition some days after copulation. na ndio maana hii principle watu wanawez kuitumia ili kuweza kufanya sex dernmination ya mtoto. atleast kwa lay man language naweza kausema hivi.
 
Last edited by a moderator:
Yaani hapo nilipo-bold na biology yangu ya Form IVD ya kujibia mtihani nilishaanza kushuka nondo vice versa, baada ya kusoma comment yako nikagundua nakwenda chaka
hahahaha, pole weeh. Tatizo la.kukremisha hilo. Sasa hapa uelewe, kama una swali uulize kabla mwalimu gfsonwin hajaenda kufanya majukumu ya kifamilia (inaitwa kulipia share ya rent hehehehe)
 
Last edited by a moderator:
Yaani hapo nilipo-bold na biology yangu ya Form IVD ya kujibia mtihani nilishaanza kushuka nondo vice versa, baada ya kusoma comment yako nikagundua nakwenda chaka
hahahaha, pole weeh. Tatizo la.kukremisha hilo. Sasa hapa uelewe, kama una swali uulize kabla mwalimu gfsonwin hajaenda kufanya majukumu ya kifamilia (inaitwa kulipia share ya rent hehehehe)
 
Last edited by a moderator:
Asante mwalimu. Ndo shule za mabata madogomadogo, mie nategemea nikisema y zinakufa upesi japo zina nguvu zaidi kila mtu anaelewa.
We need teachers aisee. Shukrani tena kwa kudadavua genetics, lol

usjali hii ndo kazi ya mwl.
 
hahahaha, pole weeh. Tatizo la.kukremisha hilo. Sasa hapa uelewe, kama una swali uulize kabla mwalimu gfsonwin hajaenda kufanya majukumu ya kifamilia (inaitwa kulipia share ya rent hehehehe)

hahahasha! ni kweli mwaya huu ugali sipewi bure mie humu lazim niulipie.
 
hizi ingilishi za chini ya mipapai! Whatya mean?

kiingereza cha sku hizi ni tata mtupu nlijua ni mm tu sielew kumbe lol!

sasa kuna mmoja aliandika barua ya kuomba kazi na kiinglish hiki dah! hawa wantu sijui kwakweli.
 
mwalimu wenu mie simuwezi, hii kazi ya kufundisha mabata madogodogo sio fani yangu. Mie nafanya training not teaching. Wazee vijeba mnaelekezana tu na kumake sense afu wanakununulia biya mnamaliza jioni vizuri.
My xmas was superb, sitamani iishe. Kama una ufundi wa kudelay tarehe 2 nitashukuru (ofcoz na kufreeze account ili nisiishiwe, lol)
umenikumbusha ule wimbo wa 'mabata wadogowadogo wanaogelea' niliousikia zamani za kale nikiwa mdogo. thx
 
Hiyo ni kote tu! Vitabu vya dini vimeandika hiyo mboni, sayansi inalijua hilo tayari, hata mila na desturi zetu zinalijua hilo! Kwa baadae sana itakuwa ni lazima uoe mke zaidi ya mmoja! i think it will be fun
 
King'asti umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja tu hapa naomba niliweke sawa X-'some is lazy compared to Y-'some. ingawa X ana mitochondria nyingi ukimkompea ya Y. sasa wakati wa copulation sperm inapotoka inatoka ikiwa na X&Y while ova ana X&X. Sasa basi kuna jambo moja la ajabu sana ambalo hutokea nalo ni X&Y "somes kutoka kwa male kucompete kwenda kwa ova kwajili ya fertilization. wakati wa hii competition Y huwa anakuwa na mbio sana kwasabbu ya wepesi wake na ufupi wake pia. ila sasa akifika na kukuta ova better for it itaingia ndani na kufanya fertiliation. inapotokea sasa hakuna ova Y huyu hufa baada ya masaa tu kwani anakuwa tayari amekwisha exhaust nguvu yote. na hapa ndipo X'some anapopata nafasi yake ya kupaka wanja. huyu atakaa hapa hata 3 days kusubiria an ova na lisipotokea ndipo hufa ila kama ova kitokea basi fertilization hufanyika kama ilvyokusudiwa tu.

sasa ukimuona baba anazaa madume tu ujue siku anazo fanya copulation ni siku ambazo tayari mama ameshatoa ova kwaajili ya ferilization. ukiona anapata wa kike tu ujue basi huwa anafanya ferilizaition some days after copulation. na ndio maana hii principle watu wanawez kuitumia ili kuweza kufanya sex dernmination ya mtoto. atleast kwa lay man language naweza kausema hivi.

Nimekuelewa sana mwalimu na Mungu akubariki kwa kweli ila ninachotaka kujua ni kwamba what would happen if Y angekuwa na hizo mitochondria nyingi kuliko X? Je, ingekuwa hivyo, ningekuwa the same Sumu I am today? By the way, what is the function of hizo mitochondria kwenye hizo so called "genes"?
 
Last edited by a moderator:
wanajamii forum naomba mnisaidie,kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua kwamba ktk jamii zetu watoto wengi wanaozaliwa ni wa kike kuliko wa kiume,hii inatokanas na nini?

Kuna dalili ndogo na dalili kubwa za siku ya KIAMA. Dalili ndogo zimekwisha na Hilo swali lako ni Moja kati ya dalili ndogo za siku ya KIAMA. Kwa ufupi inatosha.
 
King'asti umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja tu hapa naomba niliweke sawa X-'some is lazy compared to Y-'some. ingawa X ana mitochondria nyingi ukimkompea ya Y. sasa wakati wa copulation sperm inapotoka inatoka ikiwa na X&Y while ova ana X&X. Sasa basi kuna jambo moja la ajabu sana ambalo hutokea nalo ni X&Y "somes kutoka kwa male kucompete kwenda kwa ova kwajili ya fertilization. wakati wa hii competition Y huwa anakuwa na mbio sana kwasabbu ya wepesi wake na ufupi wake pia. ila sasa akifika na kukuta ova better for it itaingia ndani na kufanya fertiliation. inapotokea sasa hakuna ova Y huyu hufa baada ya masaa tu kwani anakuwa tayari amekwisha exhaust nguvu yote. na hapa ndipo X'some anapopata nafasi yake ya kupaka wanja. huyu atakaa hapa hata 3 days kusubiria an ova na lisipotokea ndipo hufa ila kama ova kitokea basi fertilization hufanyika kama ilvyokusudiwa tu.

sasa ukimuona baba anazaa madume tu ujue siku anazo fanya copulation ni siku ambazo tayari mama ameshatoa ova kwaajili ya ferilization. ukiona anapata wa kike tu ujue basi huwa anafanya ferilizaition some days after copulation. na ndio maana hii principle watu wanawez kuitumia ili kuweza kufanya sex dernmination ya mtoto. atleast kwa lay man language naweza kausema hivi.

This is the correct analysis... na ndio maana uki-plan na mkeo kukutana na kw ajili ili apate mimba kwa kulenga kabisa siku za hatari, most probably mtoto atakayepatikana atakuwa wa kiume!! Lakini unplanned pregnancies (yaani ukilala na mkeo ukiamini si siku ya hatari lakini mkawa mme-bugi mkidhani ovulation bado) mara nyingi mtoto huwa wa kike. Hii nimeiona na nime-i prove personally!!. Ndio maana watoto wengi wa nje huwa wa kike..!
 
hahahaha, pole weeh. Tatizo la.kukremisha hilo. Sasa hapa uelewe, kama una swali uulize kabla mwalimu gfsonwin hajaenda kufanya majukumu ya kifamilia (inaitwa kulipia share ya rent hehehehe)

Nimekupata mdau inatosha kabisa maana umeshani-activate naahidi sintosahau
 
Muwaulize hao wanawake kwann hawazai watoto wa kiume
 
King'asti umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja tu hapa naomba niliweke sawa X-'some is lazy compared to Y-'some. ingawa X ana mitochondria nyingi ukimkompea ya Y. sasa wakati wa copulation sperm inapotoka inatoka ikiwa na X&Y while ova ana X&X. Sasa basi kuna jambo moja la ajabu sana ambalo hutokea nalo ni X&Y "somes kutoka kwa male kucompete kwenda kwa ova kwajili ya fertilization. wakati wa hii competition Y huwa anakuwa na mbio sana kwasabbu ya wepesi wake na ufupi wake pia. ila sasa akifika na kukuta ova better for it itaingia ndani na kufanya fertiliation. inapotokea sasa hakuna ova Y huyu hufa baada ya masaa tu kwani anakuwa tayari amekwisha exhaust nguvu yote. na hapa ndipo X'some anapopata nafasi yake ya kupaka wanja. huyu atakaa hapa hata 3 days kusubiria an ova na lisipotokea ndipo hufa ila kama ova kitokea basi fertilization hufanyika kama ilvyokusudiwa tu.

sasa ukimuona baba anazaa madume tu ujue siku anazo fanya copulation ni siku ambazo tayari mama ameshatoa ova kwaajili ya ferilization. ukiona anapata wa kike tu ujue basi huwa anafanya ferilizaition some days after copulation. na ndio maana hii principle watu wanawez kuitumia ili kuweza kufanya sex dernmination ya mtoto. atleast kwa lay man language naweza kausema hivi.
this is not a layman language umeenda deep sana...siku za mke zinaanza hesabiwa mara anapoanza hedhi, siku ya 12 au13 au14 na kuendelea kijiyai chake kitaiva (ovulation), hapa mke atatoa ute wa kuteleza kama yai (egg white mucus) na kusikia nyege sana na hata wengine chupi zinalowa, hii hali inaweza kwenda hata kutwa nzima..hapa baba aitwe haraka kutupa maji..ila ktk kusubiria ovulation wasido mpaka itokee, pia baba ni vizuri ale salt food, supu, mitori,makongoro nk.(gundi la kutosha) Baba ampende sana mkewe ili ovulation iwe % kubwa kutokea...baba akiitwa mambo tayari asiwe na papara atulie...vizuri mke avunje dafu kwanza ndo baba ahakikishe anamwaga gundi akilenga kipele G..hapa dume 90%.. Kabla ya yote ni vizuri kumwomba Mungu.
 
Last edited by a moderator:
i doubt utafiti wako,
kati ya rafiki zangu kama 20 ,18 wamepata watoto wa kiume,1 mapacha(wa kike wote),na mwingine wa kike
 
hmmm! labda utafiti wako hauna sample nyingi, maana mimi mamamkwe wangu anataka wajukuu wasichana ana wakiume wengi, ana wajukuu 63 kati ya hao girls ni 12 tu. kwa upande wa wazazi wangu wana wajukuu 11 kati ya hao girls ni wa2 tu. ukiwaambia watu wanazaa sana girls wanakushangaa!
 
Back
Top Bottom