mwalimu wenu mie simuwezi, hii kazi ya kufundisha mabata madogodogo sio fani yangu. Mie nafanya training not teaching. Wazee vijeba mnaelekezana tu na kumake sense afu wanakununulia biya mnamaliza jioni vizuri.unataka kumpindua mwalimu wetu gfsonwin??
LOL, y-sperms have higher mobility and lower 'lifespan' than x-sperms.
mzodoe huyo, analeta mambo ya 'kijiweni'. BTW how was your christmas?
King'asti umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja tu hapa naomba niliweke sawa X-'some is lazy compared to Y-'some. ingawa X ana mitochondria nyingi ukimkompea ya Y. sasa wakati wa copulation sperm inapotoka inatoka ikiwa na X&Y while ova ana X&X. Sasa basi kuna jambo moja la ajabu sana ambalo hutokea nalo ni X&Y "somes kutoka kwa male kucompete kwenda kwa ova kwajili ya fertilization. wakati wa hii competition Y huwa anakuwa na mbio sana kwasabbu ya wepesi wake na ufupi wake pia. ila sasa akifika na kukuta ova better for it itaingia ndani na kufanya fertiliation. inapotokea sasa hakuna ova Y huyu hufa baada ya masaa tu kwani anakuwa tayari amekwisha exhaust nguvu yote. na hapa ndipo X'some anapopata nafasi yake ya kupaka wanja. huyu atakaa hapa hata 3 days kusubiria an ova na lisipotokea ndipo hufa ila kama ova kitokea basi fertilization hufanyika kama ilvyokusudiwa tu.
sasa ukimuona baba anazaa madume tu ujue siku anazo fanya copulation ni siku ambazo tayari mama ameshatoa ova kwaajili ya ferilization. ukiona anapata wa kike tu ujue basi huwa anafanya ferilizaition some days after copulation. na ndio maana hii principle watu wanawez kuitumia ili kuweza kufanya sex dernmination ya mtoto. atleast kwa lay man language naweza kausema hivi.
hahahaha, pole weeh. Tatizo la.kukremisha hilo. Sasa hapa uelewe, kama una swali uulize kabla mwalimu gfsonwin hajaenda kufanya majukumu ya kifamilia (inaitwa kulipia share ya rent hehehehe)Yaani hapo nilipo-bold na biology yangu ya Form IVD ya kujibia mtihani nilishaanza kushuka nondo vice versa, baada ya kusoma comment yako nikagundua nakwenda chaka
hahahaha, pole weeh. Tatizo la.kukremisha hilo. Sasa hapa uelewe, kama una swali uulize kabla mwalimu gfsonwin hajaenda kufanya majukumu ya kifamilia (inaitwa kulipia share ya rent hehehehe)Yaani hapo nilipo-bold na biology yangu ya Form IVD ya kujibia mtihani nilishaanza kushuka nondo vice versa, baada ya kusoma comment yako nikagundua nakwenda chaka
Asante mwalimu. Ndo shule za mabata madogomadogo, mie nategemea nikisema y zinakufa upesi japo zina nguvu zaidi kila mtu anaelewa.
We need teachers aisee. Shukrani tena kwa kudadavua genetics, lol
Im?! broda?!
hahahaha, pole weeh. Tatizo la.kukremisha hilo. Sasa hapa uelewe, kama una swali uulize kabla mwalimu gfsonwin hajaenda kufanya majukumu ya kifamilia (inaitwa kulipia share ya rent hehehehe)
hizi ingilishi za chini ya mipapai! Whatya mean?
umenikumbusha ule wimbo wa 'mabata wadogowadogo wanaogelea' niliousikia zamani za kale nikiwa mdogo. thxmwalimu wenu mie simuwezi, hii kazi ya kufundisha mabata madogodogo sio fani yangu. Mie nafanya training not teaching. Wazee vijeba mnaelekezana tu na kumake sense afu wanakununulia biya mnamaliza jioni vizuri.
My xmas was superb, sitamani iishe. Kama una ufundi wa kudelay tarehe 2 nitashukuru (ofcoz na kufreeze account ili nisiishiwe, lol)
hizi ingilishi za chini ya mipapai! Whatya mean?
King'asti umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja tu hapa naomba niliweke sawa X-'some is lazy compared to Y-'some. ingawa X ana mitochondria nyingi ukimkompea ya Y. sasa wakati wa copulation sperm inapotoka inatoka ikiwa na X&Y while ova ana X&X. Sasa basi kuna jambo moja la ajabu sana ambalo hutokea nalo ni X&Y "somes kutoka kwa male kucompete kwenda kwa ova kwajili ya fertilization. wakati wa hii competition Y huwa anakuwa na mbio sana kwasabbu ya wepesi wake na ufupi wake pia. ila sasa akifika na kukuta ova better for it itaingia ndani na kufanya fertiliation. inapotokea sasa hakuna ova Y huyu hufa baada ya masaa tu kwani anakuwa tayari amekwisha exhaust nguvu yote. na hapa ndipo X'some anapopata nafasi yake ya kupaka wanja. huyu atakaa hapa hata 3 days kusubiria an ova na lisipotokea ndipo hufa ila kama ova kitokea basi fertilization hufanyika kama ilvyokusudiwa tu.
sasa ukimuona baba anazaa madume tu ujue siku anazo fanya copulation ni siku ambazo tayari mama ameshatoa ova kwaajili ya ferilization. ukiona anapata wa kike tu ujue basi huwa anafanya ferilizaition some days after copulation. na ndio maana hii principle watu wanawez kuitumia ili kuweza kufanya sex dernmination ya mtoto. atleast kwa lay man language naweza kausema hivi.
wanajamii forum naomba mnisaidie,kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua kwamba ktk jamii zetu watoto wengi wanaozaliwa ni wa kike kuliko wa kiume,hii inatokanas na nini?
King'asti umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja tu hapa naomba niliweke sawa X-'some is lazy compared to Y-'some. ingawa X ana mitochondria nyingi ukimkompea ya Y. sasa wakati wa copulation sperm inapotoka inatoka ikiwa na X&Y while ova ana X&X. Sasa basi kuna jambo moja la ajabu sana ambalo hutokea nalo ni X&Y "somes kutoka kwa male kucompete kwenda kwa ova kwajili ya fertilization. wakati wa hii competition Y huwa anakuwa na mbio sana kwasabbu ya wepesi wake na ufupi wake pia. ila sasa akifika na kukuta ova better for it itaingia ndani na kufanya fertiliation. inapotokea sasa hakuna ova Y huyu hufa baada ya masaa tu kwani anakuwa tayari amekwisha exhaust nguvu yote. na hapa ndipo X'some anapopata nafasi yake ya kupaka wanja. huyu atakaa hapa hata 3 days kusubiria an ova na lisipotokea ndipo hufa ila kama ova kitokea basi fertilization hufanyika kama ilvyokusudiwa tu.
sasa ukimuona baba anazaa madume tu ujue siku anazo fanya copulation ni siku ambazo tayari mama ameshatoa ova kwaajili ya ferilization. ukiona anapata wa kike tu ujue basi huwa anafanya ferilizaition some days after copulation. na ndio maana hii principle watu wanawez kuitumia ili kuweza kufanya sex dernmination ya mtoto. atleast kwa lay man language naweza kausema hivi.
hahahaha, pole weeh. Tatizo la.kukremisha hilo. Sasa hapa uelewe, kama una swali uulize kabla mwalimu gfsonwin hajaenda kufanya majukumu ya kifamilia (inaitwa kulipia share ya rent hehehehe)
this is not a layman language umeenda deep sana...siku za mke zinaanza hesabiwa mara anapoanza hedhi, siku ya 12 au13 au14 na kuendelea kijiyai chake kitaiva (ovulation), hapa mke atatoa ute wa kuteleza kama yai (egg white mucus) na kusikia nyege sana na hata wengine chupi zinalowa, hii hali inaweza kwenda hata kutwa nzima..hapa baba aitwe haraka kutupa maji..ila ktk kusubiria ovulation wasido mpaka itokee, pia baba ni vizuri ale salt food, supu, mitori,makongoro nk.(gundi la kutosha) Baba ampende sana mkewe ili ovulation iwe % kubwa kutokea...baba akiitwa mambo tayari asiwe na papara atulie...vizuri mke avunje dafu kwanza ndo baba ahakikishe anamwaga gundi akilenga kipele G..hapa dume 90%.. Kabla ya yote ni vizuri kumwomba Mungu.King'asti umesema sahihi kabisa ila kuna jambo moja tu hapa naomba niliweke sawa X-'some is lazy compared to Y-'some. ingawa X ana mitochondria nyingi ukimkompea ya Y. sasa wakati wa copulation sperm inapotoka inatoka ikiwa na X&Y while ova ana X&X. Sasa basi kuna jambo moja la ajabu sana ambalo hutokea nalo ni X&Y "somes kutoka kwa male kucompete kwenda kwa ova kwajili ya fertilization. wakati wa hii competition Y huwa anakuwa na mbio sana kwasabbu ya wepesi wake na ufupi wake pia. ila sasa akifika na kukuta ova better for it itaingia ndani na kufanya fertiliation. inapotokea sasa hakuna ova Y huyu hufa baada ya masaa tu kwani anakuwa tayari amekwisha exhaust nguvu yote. na hapa ndipo X'some anapopata nafasi yake ya kupaka wanja. huyu atakaa hapa hata 3 days kusubiria an ova na lisipotokea ndipo hufa ila kama ova kitokea basi fertilization hufanyika kama ilvyokusudiwa tu.
sasa ukimuona baba anazaa madume tu ujue siku anazo fanya copulation ni siku ambazo tayari mama ameshatoa ova kwaajili ya ferilization. ukiona anapata wa kike tu ujue basi huwa anafanya ferilizaition some days after copulation. na ndio maana hii principle watu wanawez kuitumia ili kuweza kufanya sex dernmination ya mtoto. atleast kwa lay man language naweza kausema hivi.