BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Ngoja niigoogle hii, hiyo Autobiography anasukuma Manji ila haina shida ngoja tukomae na Sedan zetu.Hiyo ilikua ni 2016...
2017 imetoka Range Rover SVAutobiography...
Imetengenezwa na Land Rover and Special Vehicle Operation Division.
It is the most luxurious and powerful Range Rover ever made.
Sport Utility Vehicles(SUVs) are hot right now...
Wabongo ndio hatuendi na ulimwengu uendavyo....
Rolls-Royce Wamezalisha Sedans tangu WWII lakini siku hizi SUVs zimekua dili... Mwaka huu wanazindua their first SUV Rolls-Royce Cullinan.
Bentley pia wamezalisha Sedans kwa miaka mingi... Mwaka jana walizindua their first SUV Bentley Bentayga.Ambayo ndio world fast SUV.
BMW mwaka huu wanazindua BMW X7 ili icompete na Range Rover... Na wameona SUVs ndio zina soko siku hizi.
Jaguar wamezindua Jaguar F-Pace mwaka huu ambayo ndio their first Suv... Kwa kuwa Sedans Kama Jaguar XJ hazina dili.
Believe me,Suvs ndio habari ya mjini duniani mda huu.
Ila kutokana na umasikini wetu wabongo Sedans Kama Toyota mark X,Camry na nyingine ndio tunaona zina maana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yote kwa yote.hunitoi kwenye Rav4 old model manual gear
Hivyo una maanisha SUVs zina larger carbon footprint than Sedans?Ninayo BMW SUV, so you are not telling me anything I don't know na kama unasema kuwa na SUV ndiyo kwenda na ulimwengu, na wabongo hatuendi na ulimwengu, mimi nitakuwa mbongo mmoja ninaye ku prove wrong. Ninazo mbili.
Ila hoja yangu ya carbon footprint hujaijibu kabisa.
Kama umeielewa at all.