Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

Hiyo ilikua ni 2016...

2017 imetoka Range Rover SVAutobiography...

Imetengenezwa na Land Rover and Special Vehicle Operation Division.

It is the most luxurious and powerful Range Rover ever made.
Ngoja niigoogle hii, hiyo Autobiography anasukuma Manji ila haina shida ngoja tukomae na Sedan zetu.
 
Ila lexus 570 nayo iko classical sana
Lexus LX ni tamu mno mkuu...

Japo wanailalamikia kwenye brake na on-road instability...

Napenda sana design yake... Hasa lilivyo kaa kama predator pale mbele.
 
Sport Utility Vehicles(SUVs) are hot right now...

Wabongo ndio hatuendi na ulimwengu uendavyo....

Rolls-Royce Wamezalisha Sedans tangu WWII lakini siku hizi SUVs zimekua dili... Mwaka huu wanazindua their first SUV Rolls-Royce Cullinan.

Bentley pia wamezalisha Sedans kwa miaka mingi... Mwaka jana walizindua their first SUV Bentley Bentayga.Ambayo ndio world fast SUV.

BMW mwaka huu wanazindua BMW X7 ili icompete na Range Rover... Na wameona SUVs ndio zina soko siku hizi.

Jaguar wamezindua Jaguar F-Pace mwaka huu ambayo ndio their first Suv... Kwa kuwa Sedans Kama Jaguar XJ hazina dili.

Believe me,Suvs ndio habari ya mjini duniani mda huu.

Ila kutokana na umasikini wetu wabongo Sedans Kama Toyota mark X,Camry na nyingine ndio tunaona zina maana.

Ninayo BMW SUV, so you are not telling me anything I don't know na kama unasema kuwa na SUV ndiyo kwenda na ulimwengu, na wabongo hatuendi na ulimwengu, mimi nitakuwa mbongo mmoja ninaye ku prove wrong. Ninazo mbili.

Ila hoja yangu ya carbon footprint hujaijibu kabisa.

Kama umeielewa at all.
 
Ni gari ya ndoto ya vijana wengi
01-range-rover-autobiography-black-la-1.jpg
 
mimi ninayo range rover ila nimpa Bibi aweke vitungu vyake ambayo haviuzi huko. ni ya mwaka 2017
 
Ninayo BMW SUV, so you are not telling me anything I don't know na kama unasema kuwa na SUV ndiyo kwenda na ulimwengu, na wabongo hatuendi na ulimwengu, mimi nitakuwa mbongo mmoja ninaye ku prove wrong. Ninazo mbili.

Ila hoja yangu ya carbon footprint hujaijibu kabisa.

Kama umeielewa at all.
Hivyo una maanisha SUVs zina larger carbon footprint than Sedans?

Nadhani njia pekee wanayoitumia Matajiri wanaopenda kutunza mazingira ni kununua electrical cars kama Tesla Model S,BMW i8 na Toyota Prius.

Mimi nadhani solution ya carbon footprint ni kutumia electrical cars...
 
Back
Top Bottom