Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

BMW-X7-rendering-0.jpg
 
Ukiangalia reviews nyingi za magari mwaka huu... G-wagon imescore marks ndogo sana.

Wakati huo huo Range Rover imechukua marks nyingi kiasi cha kupewa "Editors Choice" kuanzia Top Gear,Car Connection na Car and the Driver.

Hii ni kwa kuwa Range Rover imekua stable On and Off-road... Na lile tatizo la kuwa eti Range Rover haidumu bila kwenda Garage limeshachimbiwa kaburi.

Tatizo pekee sasa la Range Rover ni sky high price... Bei yake kweli ni nondo.

G-wagon imekuwa stable off-road but sio stable on-road pia imekuwa na fuel economy mbaya zaidi yani inakula mafuta sio mchezo.

Pia comfort na handling ya gari ni nzuri sana kwenye Range Rover kuliko G-wagon.

So Range Rover ndio mshindi hapo.
Ila pamoja na yote hayo, mimi na prefer G-wagon kuliko range Rover nimetokea kuikubali tu ani sijui kwanini
 
Yeah Mkuu...

BMW X7 inataka kuja kuchukua crown kwa Range Rover.

Na kwa mara ya kwanza Lamborghini wanajiunga kwenye ulimwengu wa SUVs... Lamborghini Urus is on the way...

Mkuu hujaiona 2017 Land Rover Discovery and Discovery sport?
09e59ea20fbe40f24eb22dab40057655.jpg
 
Ila pamoja na yote hayo, mimi na prefer G-wagon kuliko range Rover nimetokea kuikubali tu ani sijui kwanini
Sio wewe tu mkuu...

Hata mimi naipenda zaidi kuliko Range Rover.

Kuna Video moja ya MotorTrend waki zishindanisha 2013 Range Rover na 2013 G-wagon...

Walianza porini kuzipima off-road capability then wakaenda mjini kuzipima on-road capability.

At the end of the review jamaa anasema mwisho wa picha Range Rover ni mshindi lakini akipewa nafasi ya kuchagua atachukua G-wagon.
 
Ila lexus 570 nayo iko classical sana
Absolutely
Range Rover imekuwa chaguo la kwanza kwa muda mrefu kwa matajiri na watu maarufu duniani...

Hii ni kwa sababu ina sifa moja ambayo ni ngumu kuipata kwenye gari nyingine... "Go anywhere and do anything luxury"... Bentley Bentayga pekee ndio amejaribu kufuata nyayo za Range Rover.

a2e95631dcf1e0b3dcfdc4d512a42d8f.jpg


Kuanzia Malkia Elizabeth II,Obama,David Beckham,Kim Kardashian,Meek Mill na Wengine wengi(You name it)... Kila wakati ukimuona mtu maarufu anashuka kwenye SUV... It's a Range Rover.

dfe4dbd791e581d530f985718816c641.jpg


Pia,Mercedes-Benz G-Class imekua ni chaguo la pili kwa watu maarufu na matajiri duniani... Ikiipiga chini Cadillac Escalade ambayo ilikua ni maarufu kwa miji kama Los Angeles...

G-Wagon pia ni moja kati ya Full Size Luxury Suv ambayo ina offer great off-road capability...

Range Rover na G-Wagon ndio zimekua chaguo la watu maarufu duniani... Pia zina simama kama status symbol,zikimaanisha “I am Expensive”...

Wakati sisi tukitafuta magari kama usafiri.. Matajiri wanatafuta magari ya kuonesha how expensive they are...

22f33f13f0107dfa2cecaa789df73c79.jpg


G-Wagon pia inamilikiwa na watu kama T.I,Kim Kardashian,David Beckham,Kris Jenner na Wengine.

c321a1b058a02ec71a7f371aebadc3fd.jpg


Acha tuone picha kadhaa...

Kim Kardashian na G-Wagon yake.
9362218daf46210b52ede64860ad874b.jpg


David Beckham akiwa na Range Rover na G-Wagon yake.
9cde71b58098dff29b4953a38722e557.jpg


Davido akiwa na Range Rover na G-Wagon yake.
fe59402cb52977f137cfff7eca6bd8da.jpg


Kim Kardashian akiwa na Range Rover yake.
7a80eb3a718d5fec77f7462cf368e2a9.jpg


Meek mill Range Rover and G-Wagon.
68cba14005622115acfbc4bd67eaa53e.jpg


Picha zaidi...
7bd3c1403b895815967d63eca4b1bb81.jpg


a7b30b768f0ec85ce0ad638a933c85c3.jpg


bf51e8a9c6c80d2b08762bb1572a8fb7.jpg


3f686aa49260419871bdbc3d27084d89.jpg


Hizi ndio SUVs for celebrities and Rich people...

Wataje unao wajua wanao miliki mojawapo ya hizi gari au zote mbili.
 
Sio wewe tu mkuu...

Hata mimi naipenda zaidi kuliko Range Rover.

Kuna Video moja ya MotorTrend waki zishindanisha 2013 Range Rover na 2013 G-wagon...

Walianza porini kuzipima off-road capability then wakaenda mjini kuzipima on-road capability.

At the end of the review jamaa anasema mwisho wa picha Range Rover ni mshindi lakini akipewa nafasi ya kuchagua atachukua G-wagon.
Inabidi mwanaume uwe na gari yenye muonekano wa kiume
 
we G'taxi hauna hela ndo mana umeng'ang'ana na kill time yako ....ha ha ha kwani we hutak g wagon
Mi nataka Rav4.hujaona kuna watu wana pesa chafu lakini wanatembelea Escudo.hujawahi ona?ni sawa na mwingine ana pesa lakini anavaaga makobazi hayana shepu,mwingine masikini lakini anapiga ngwasuma ya laki na20
 
Back
Top Bottom