Kwa nini watu wapo against na Mwijaku?

Kwa nini watu wapo against na Mwijaku?

Mwijaku na Menina wote ni wale wale tu!tatizo la Mwijaku ni kujimwambafai sana insta na kuzodoa watu.
 
Mwijaku atasongwa songwa tu lakini yataisha ila kwa Menina imekula kwake vidéo ikishaingia Xvideo huwa haifutwi itakuja tazamwa na vizazi hadi vizazi katoto kake katakuja ona uchi wa mama yake hakata jiskia poa kabisa.
 
Mwijaku atasongwa songwa tu lakini yataisha ila kwa Menina imekula kwake vidéo ikishaingia Xvideo huwa haifutwi itakuja tazamwa na vizazi hadi vizazi katoto kake katakuja ona uchi wa mama yake hakata jiskia poa kabisa.
Kweli kabisa, yani mbaya zaidi imeshaenda na PornHub, Xnxx, Aisee itakaa huko vizazi na vizazi dah
 
Wenye hekima siku zote walitusisitiza kuweka akiba ya maneno, mwijaku aliyasahau haya.
 
Me kwangu naona sawa tu kwa mwijaku kuandamwa cos anatabia Fulani hiv ya kike ya kupenda kujudge maisha ya watu na kujifanya innocent man kumbe Hana lolote mwanaume mzima unavujishaje video ya ngono ili iweje kwanini na yeye akujionesha sura yake Kama alivyomuonesha
menina

Menina alitaka kujionyesha mwenyewe sio kosa la mwijaku,by the way mwijaku uwa anaweka brich kwa kichwa chake sio Upara?
 
Mwijaku is not guilty till proven. Menina Ana makosa Sana na Tena kawatia aibu kubwa mabinti wa kiislamu waliojaa kwenye tasnia ya burudani kwa kujifanya wafia dini kumbe wauza utumbo.

Nimeshangaa mpaka Sasa hivi wanawake wenzie hawajatoa tamko la kumkosoa kwa umalaya anaoufanya.

Mwijaku is a psychotic impossible character anahitaji tiba zaidi. Ana Obsessive compulsive disorder (ODD) He thinks he is the most intelligent and can judge anyone that he reads his stories. Inashangaza eti mwijaku ni celebrity wakati background yake inasemekana aliiba Hadi magodoro,mitihani chuoni University. Chizi maarifa bin mipango.

Hakutakiwa kupewa airtime yoyote ile huyu mwijaku.
 
Mwijaku atasongwa songwa tu lakini yataisha ila kwa Menina imekula kwake vidéo ikishaingia Xvideo huwa haifutwi itakuja tazamwa na vizazi hadi vizazi katoto kake katakuja ona uchi wa mama yake hakata jiskia poa kabisa.
Hv nani huwa anatuma video za ngono kule....kuna mabroka hapo kati ama ni nini!?
 
Hv nani huwa anatuma video za ngono kule....kuna mabroka hapo kati ama ni nini!?
ule ni mtandao kama ilivyo Jamiiforums lakini wenyewe umeegemea katika video za ngono sasa kuna kujiandikisha ili uwe mwanachama ambapo ukisha jiunga unakuwa na uwezo wa kupost video na kucoment.

sasa kuna watu wanapost video pale halafu id zao wanaweza sahau passward ya kuingilia ama kuamua kutoingia tena sasa ikitokea hivi inamaana video itabakia hapo hapo haiwezi futika maisha labda mtandao uje kufungwa.


Mfano Zari ilipostiwa video yake pale akipiga punyeto hii ilipostiwa watoto wake wakiwa wadogo lakini leo watu wazima wakiingia pale wanakutana na sehemu walizotoka inakuwa sio poa kabisa.
 
mwijaku alipata umaarufu uchwara akavimba kichwa akawa jaji wa kuhukumu wenzake ,,sasa kapatikana na kaonekana kumbe ni mshamba tu
 
mwijaku alipata umaarufu uchwara akavimba kichwa akawa jaji wa kuhukumu wenzake ,,sasa kapatikana na kaonekana kumbe ni mshamba tu
ila ana ubaharia flani, kula tigo ya MENINA aisee bila hata kuonga nyumba?
though leo hawajamleta mahakamani, labda kesho itakuja hiyo kesi
 
Back
Top Bottom