Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Kuna nadharia mbali mbali ambazo zimejengwa kueleza kwa nini watu wema huwa hawadumu hapa duniani.
Nadharia moja wapo inapatikana kwenye machapisho ya Mtaalam wa mambo ya Kimungu anayejulikana kama Isaya na habari hizi ameziandika katika kitabu chake cha Isaya 57:1 akielezea kwa nini watu wema hufa mapema.
Pia mchambuzi wa maswala ya kiimani ajulikanaye kwa jina la Mathew Henry amejitahidi kuelezea au kuyachambua maandiko ya mwandishi huyo hapo juu.
Nadharia yao na maelezo yao iko katika lugha ya Kiingereza.
New Living Translation (Isaiah 57:1)
Good people pass away; the godly often die before their time. But no one seems to care or wonder why. No one seems to understand that God is protecting them from the evil to come.
Matthew Henry's Concise Commentary
57:1,2 The righteous are delivered from the sting of death, not from the stroke of it. The careless world disregards this. Few lament it as a public loss, and very few notice it as a public warning. They are taken away in compassion, that they may not see the evil, nor share in it, nor be tempted by it. The righteous man, when he dies, enters into peace and rest.
Nadharia moja wapo inapatikana kwenye machapisho ya Mtaalam wa mambo ya Kimungu anayejulikana kama Isaya na habari hizi ameziandika katika kitabu chake cha Isaya 57:1 akielezea kwa nini watu wema hufa mapema.
Pia mchambuzi wa maswala ya kiimani ajulikanaye kwa jina la Mathew Henry amejitahidi kuelezea au kuyachambua maandiko ya mwandishi huyo hapo juu.
Nadharia yao na maelezo yao iko katika lugha ya Kiingereza.
New Living Translation (Isaiah 57:1)
Good people pass away; the godly often die before their time. But no one seems to care or wonder why. No one seems to understand that God is protecting them from the evil to come.
Matthew Henry's Concise Commentary
57:1,2 The righteous are delivered from the sting of death, not from the stroke of it. The careless world disregards this. Few lament it as a public loss, and very few notice it as a public warning. They are taken away in compassion, that they may not see the evil, nor share in it, nor be tempted by it. The righteous man, when he dies, enters into peace and rest.