Kwa nini Watu Wema Hufa Mapema (Wema Hawadumu)?

Kwa nini Watu Wema Hufa Mapema (Wema Hawadumu)?

Kiimani kifo hakina uhusiano na matendo ya mtu...watu wa imani huwa tunaamini kuwa kifo ni ahadi walizowekeana kati ya muumba na mja wake..na siku yako ikifika hakuna wa kuzuia kifo chako....tofauti ni kwamba huwa tunafurahishwa sana uwepo wa watu wema kutokana na matendo yao mazuri kwetu...hivyo hupelekea sisi kuwahitaji sana wao kila wakati....matendo yao mazuri kwetu hutufanya tuwaweke mioyoni mwetu...hivyo kupelekea tuone vifo vyao kuwa ni hasara kwetu.....tofauti na watu wabaya ambao vifo vyao huwa ni faida kwetu na uwepo wao ni hasara kwetu....mfano watu kama Idd Amin, Adolf Hiltrel....
 
huyuhuyu ni yupi acha mihemko fafanua vizuri ueleweke.

Umeshasema MHEMKO Hivyo Unaonekana Kweli UMEHEMKA Na Unanihitaji NIKUHEMEE Ila Bahati Mbaya Sana Nimeshastaafu KUWAHEMEA Vijana Wenye Tatizo La " Magomeni Mapipa " Kwa Macheni Kama Wewe.
 
amna mtu anakufa mapema hata mmoja hivo basi kama alivo sema mungu kwenye vitabu vake hatamzidishia mtu muda wala hatampunguzia muda you will die at aright tim baaas

Khaswaaa.
Every single one amongst us,will surely pass away unacqauently when his very appointed time reaches and absolutely not otherwise.
Nobody dies earlier than the other and nobody's late either.
 
Back
Top Bottom