Kwa nini?

Kwa nini?

nafikiri wadada huvutiwa na mwanaume anayeonyesha uchangamfu na kujali. Pia hupenda watu wacheshi, so ukiwa umetulia halafu ndo hivyo huchangamki unakosa mvuto! Samahani sana!

unajua wa2 hamkunielewa nilivyoseama kutulia sio kuwa mkimya ninamaana ukiwa ndani ya uhusiano upendi kuangaika ndo ur altitude.
 
Acha uoga tongoza ucfikiri mwanamke atakufwata mwenyewe. afu inaelekea hujitumi kutafuta kwanja kama ungekua unajituma ungekuta umepata hata wale manaofuata mikwanja kwan huwezi kutongozwa kama huna kwanja afu pia sio hb.

I got all man!
 
Back
Top Bottom