Kwa mimi ambaye namiliki gari/magari tangu mwaka 1997, ninakwambia huyo mke wako hajui lolote kuhusu kumaintain gari, yeye anadhani kuvaa miwani ya juwa na kukoleza lipstic huku yupo kwenye kiyoyozi basi amemaliza!!
Kwa mwanamke Mbumbumbu kama amenunuwa gari na wewe hauna usikubali kujidharirisha, wake up ur mind, maisha yako yasiwe tegemezi kwake kiasi kwamba bila yeye hakuna maisha huko ni kutoitendea haki nafsi yako mwenyewe.
Nijibu kwanza maswali haya hili tufikie conclusion ya kesi yako bila kupoteza muda;
1. What is your source of income?
2. Mnaishi nyumba ya kupanga au mnaishi kwenye nyumba yenu?
3. Mmefunga ndoa kanisani/ msikiti/ serikalini?
4. Je mmejaliwa kupata watoto? kama ndiyo ni wangapi?
5. If u don't mind, unaweza kutaja kabila la mke wako na kabila lako?
6. Je mke wako ana kiwango gani cha Elimu?
Majibu ya hapo juu ndio yatakayoleta conlusion ya haraka katika kesi kama hii ya kwako. sometime i beleive huwa tunacreate wenyewe Timer explode bomb!!