kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Nimeona ni muda sasa mange kimangi amekuwa front line kwa kumkosanisha diamond na mashabiki,
imefikia kipindi naona siyo hates kama shabiki bali naona kama kuna kitu kimejificha ambacho kwa sisi wa nje hatuwezi kung'amua.
Baada ya wimbo wa domo kufikisha viewz 1M within 15 hrs yameibuka maneno meng sana ya kumkatisha tamaa uyu mtt wa tandale, na imefikia kipindi anawahadaa watu wai report iyo ngoma mpya ya domo youtube ili sijui ifungiwe,
kwa nini anakuwa na chuki kiasi iki kwa domo, sawa msanii kama msanii huwezi ukapendwa na wote lkn hii stage mange aliyofikia inanipa ualakini na kunipa waswas hata kwny harakati zake za siasa anazotuhubilia kil mara kuwa hata zenyewe zimejaa magumashi.
Nikikumbuka jinsi alivyomwandama mkuu wa mkoa wa dar mh. Makonda napata mashaka sana juu ya harakati zake.
imefikia kipindi naona siyo hates kama shabiki bali naona kama kuna kitu kimejificha ambacho kwa sisi wa nje hatuwezi kung'amua.
Baada ya wimbo wa domo kufikisha viewz 1M within 15 hrs yameibuka maneno meng sana ya kumkatisha tamaa uyu mtt wa tandale, na imefikia kipindi anawahadaa watu wai report iyo ngoma mpya ya domo youtube ili sijui ifungiwe,
kwa nini anakuwa na chuki kiasi iki kwa domo, sawa msanii kama msanii huwezi ukapendwa na wote lkn hii stage mange aliyofikia inanipa ualakini na kunipa waswas hata kwny harakati zake za siasa anazotuhubilia kil mara kuwa hata zenyewe zimejaa magumashi.
Nikikumbuka jinsi alivyomwandama mkuu wa mkoa wa dar mh. Makonda napata mashaka sana juu ya harakati zake.