Kwa nn mange anamwandama sana diamond kuna nini nyuma ya pazia?

Status
Not open for further replies.
Mm huwa sikoment kwenye post zake ila inafikia kipindi anakera haiwezekani uonyeshe chuki za wazwaz ivo kwa mtu. Mond anaingia gharama kutengeza brand yake alafu mtu tu from no where anaanza kuku pull down.

Dada yetu mange kama unapitaga umu jf tunakuomba tuachie diamond wetu ww endelea na wasanii wako unaowahusudu plz acha kumchonganisha na mashabiki acha kutengeneza tabaka maana ata post zako naona zimeanza kudolola kama ww ni mtu makini utakuwa umeshaona so achana na domo. Akopi, anunue viewz afanye nn sisi mashabiki zake tusharizika nae so mpotezee maana unatumia nguvu nyingi sana kuuaminisha umma kitu ambacho siyo.
 
Muulize tu atakupa majibu sahihi.sisi tutajua je au unaogopa povu?
 
Kutumia maneno ya dini isiyo yako popote nikukosa heshima nanidham kwa wenye dini husika.

Anaudhalilisha ukristo kwa faida ya dinigani?

Kwanini ameukosea adabu ukristo? Au hadhani anawadhalilisha wapenzi wake wa upande huo?

Hana adabu kabisa.
Mmekosa pakukosoa mmeamua kupandikiza chuki zakidini oneni aibu basi
 
Ww tokea uzaliwe adi ufikie apo ulipo umetoka (umeshalala) na wanawake wangapi?
 
Acha wivu

Huelewi maana halisi ya neno msanii

Huyo mshenzi ajuwe ukristu unahubiri mke mmoja kwa mume mmoja

Huyu malaya anayezaa hovyo mitaani anatufundisha nini kwa kutumia maneno yetu matukufu kuhalisha ujinga na uasherati wake?
 
Huelewi maana halisi ya neno msanii

Huyo mshenzi ajuwe ukristu unahubiri mke mmoja kwa mume mmoja

Huyu malaya anayezaa hovyo mitaani anatufundisha nini kwa kutumia maneno yetu matukufu kuhalisha ujinga na uasherati wake?
Yesu akawaambia asiye na dhambi ndo awe mtu wa kwanza kumponda jiwe huyu mwanamke. So usikhukum usije ukahukumiwa. Ww mwenyewe umejaa dhambi kibao.
 
Mange? Support watanzania wenzio. Acha kuwaharibia. Kwa umaarufu wako nilitegemea ungekuwa wa kwanza ku support watanzania badala yake unawadidimiza. Acha mwanamke kuwa mzalendo wa kweli.
Mange teamkiba na ndio mana hataki msapoti baba tiffah ila atasanda tu
 
Mange anataka kushawishi watu wamchukue Diamond sababu yeye anamchukia.

Nahisi sababu ya Mange kumchukia Diamond ni kumwacha Wema. Ila watu Mwenye akili timamu wamemgomea.
Hii sababu ndiyo yenyewe kabisaa
 
Ukimsikiliza yule mwanamke utakuwa na akili pungufu
Unajua kwny harakati zake za sias nilikuwa namwaminia sana......lakini naanza kupata ukkasi nahisi hata izo siasa zake ni personal issues zinazomnufaisha yeye. Kwnye birthday ya wema aliandika kuwa makonda asingemtaja wema kwny sakata la madawa ya kulevya, asingelianzisha sakata la vyeti na kumuharibia makonda harakati zake za madawa ya kulevya, tokea siku iyo nikaanza kuwa na mashaka na nikijumlisha na hili swala la diamond naanza kupata jibu.
 
Acha uongo wewe,mange anamwandama dai hata kabla makonda hajaunusa ukuu wa wilaya
Thibitisha hapa uongo wangu,weka ushahidi wapi alimponda kabla ya kuimba acha nikae kimya..!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…