Hizi kambi pinzani zisizo rasmi zinasikitisha,while Diamond and Kiba are making money through their musics kuna watu wanashinda wakibishana na kutukanana mitaani na kwenye social media bure.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Nyuma ya pazia kutakua kuna Dirisha au mlango kama sijakosea
Neno gan la dini limetumika?Kutumia maneno ya dini isiyo yako popote nikukosa heshima nanidham kwa wenye dini husika.
Anaudhalilisha ukristo kwa faida ya dinigani?
Kwanini ameukosea adabu ukristo? Au hadhani anawadhalilisha wapenzi wake wa upande huo?
Hana adabu kabisa.
Nimeona ni muda sasa mange kimangi amekuwa front line kwa kumkosanisha diamond na mashabiki,
imefikia kipindi naona siyo hates kama shabiki bali naona kama kuna kitu kimejificha ambacho kwa sisi wa nje hatuwezi kung'amua.
Baada ya wimbo wa domo kufikisha viewz 1M within 15 hrs yameibuka maneno meng sana ya kumkatisha tamaa uyu mtt wa tandale, na imefikia kipindi anawahadaa watu wai report iyo ngoma mpya ya domo youtube ili sijui ifungiwe,
kwa nini anakuwa na chuki kiasi iki kwa domo, sawa msanii kama msanii huwezi ukapendwa na wote lkn hii stage mange aliyofikia inanipa ualakini na kunipa waswas hata kwny harakati zake za siasa anazotuhubilia kil mara kuwa hata zenyewe zimejaa magumashi.
Nikikumbuka jinsi alivyomwandama mkuu wa mkoa wa dar mh. Makonda napata mashaka sana juu ya harakati zake.
PointNaombeni mnieleweshe!
Hivi kama mtu unamchukia How comes unakuwa unafuatilia kila analo lifanya? Yaani How? Yaani unamchukia mtu na kazi zake Halafu bado unakuwa unafuatilia kazi zake ili uzikosoee hapo vipi? Huko ni kumchukia au kumchukia kinafiki Kumbe unampenda? Mimi nikimchukia mtuu Huwa sitaki hata kusikia jina lake wala kuona chochote chake! Kama kwa Mange sijui hata Profile picture yake ya Insta hata username yake sijui kwasababu huwa sioni chochote nitakacho gain toka kwake! Sasa Nashangaaga kusikia Yeye mtu anamchukia halafu bado anamfuatilia kila mahali na kila analofanya! Mbona Alikiba Alivyo Fikisha wale Views Hamna Hata Team Diamond walio Diriki kusema jamaa kanunua Views? Mbona hamna hata alie hangaika Na Jamaa Kuhusu hao Views Sasa iweje Kwa Diamond Tuuuu ndio kuna kuwa na Mashaka ya Views?
Clouds FM waliwahi kumuhoji yule msimazi wa accounts za Watu wa Youtube Na alisema Ni NGUMU SANA KWASASA MTU KUNUNUA views! Au Mange anafikiria Views ni Bure youtube Wale wanalipwaaa Sasa sidhani kama youtube watakubari Kupoteza Pesa zao kutoa malipo hewa!! Mzungu huwezi kumuibia kirahisi rahisi hasa katika Hizi mambo Za IT labda youtube ingekuwa ya Wabongooo! Na yeye Anajua!
Ina maana mange anafikiria Ile Page yake ya Insta itamshusha Diamond Mwenye Followers Million 4? Ile Page yake Ya insta Itamshusha Diamond Mwenye Nyumba South Africa na Kodi analipa? Au anadhani atamshusha Diamond mwenye Nyumba kumi hapa mji Dasilamu? mange anaota jamani hakianani Wengi wanaangimia kwa kukosa Maarifa! iweje Ushoboke na Mtu ambaye hata hata muda na wewe huko ndio wanaitwa kuwashwaaa!!!! wanao sema mange ana stress mnaonea tuu stress mange amakosa Elimu amekosa uwezo wa kufikiria hana uwezo wa kupambanua mambo!
Wimbo ukifungua tuu insta unaweza kuta watu wengi wameupost yaani jana insta ilikuwa huwezi kukwepa kukutana na Neno HALLELUJAh sasa iweje useme watu wamenunua views? Huko kwenye magroup ya whatsapp ndio usisemeeeeeee sasa Sielewii! Hivi Page ya mange akina Wizkid nao wanaifuatulia? Akina Davido nao wanaifuatilia? Akina Rickross nao wanaifuatilia au Dj Khaled nae anaifuatilia page ya mange maana hao na wengine ndio tunahofia wakisia jamaa anasemwa semwa kuhusu views wanaweza kaa collabo tofauti na hapo nadhani page za matangazo labda!
Huyu mama ana miaka Mingapii usikute mkubwa kuliko Mama angu! maana kadri umri unavyozidi kwendaaa na Kufikiria nako kunapungua!
Halafu unakuta mwanaume kabisaa na mindevu yake anafungua page ya mange kusoma na kucomment hizo si dalili za ushoga jamani au?
Diamond alisema ameenza kutukanwa insta Tangia 2009
Kutumia maneno ya dini isiyo yako popote nikukosa heshima nanidham kwa wenye dini husika.
Anaudhalilisha ukristo kwa faida ya dinigani?
Kwanini ameukosea adabu ukristo? Au hadhani anawadhalilisha wapenzi wake wa upande huo?
Hana adabu kabisa.
Hallelujah ni neno la ki-hebrew sio neno la dini. Maana yake mungu asifiwe. Unaweza kusema kwa kichina, kiarabu, kigiriki au kihebrew. Tunalikuta hili neno kwenye biblia kwa sababu liliandikwa huko. Biblia ingeandikwa Dar es Salaam ungekuta maneno ya kizaramu. Hamna dharau yoyote hapa. - From a christian who knows the bible
Nenda kaongee msikitini hilo neno mara tatu, kisha rudisha mrejesho hapa jukwaani
Unamaanisha hivi mkuu..!!kama ni sahihi angesema allahwakbaru
Kutumia maneno ya dini isiyo yako popote nikukosa heshima nanidham kwa wenye dini husika.
Anaudhalilisha ukristo kwa faida ya dinigani?
Kwanini ameukosea adabu ukristo? Au hadhani anawadhalilisha wapenzi wake wa upande huo?
Hana adabu kabisa.
Kweli haina swaga. Pia ameangalia na Majority ya Watu. Wengi ni Wakristo.Unamaanisha hivi mkuu..!!
"I swear She makes me say allahwakbaru
Yes she makes me say allahwakbaru
She makes me say allahwakbaru
Oh she iih allahwakbaru
Allahwakbaru"
My take: Jamaa aliona haina swaga au unaonaje ukiimba imba hata wewe..??
Mwangilieni mwingine huyu!!
Anauddhalilisha Ukristo kivipi?
Ina maana Hallelujah ni Ukristo?! Ina maana hufahamu kwamba hilo ni neno la Kiingereza lililotoholewa kutoka Kihebrania likimaanisha "Praise the Lord?" Kwahiyo mtu akitumia neno la Kihebrania tu tayari anakashifu Ukristo wakati hii lugha ipo hata kabla Yesu hajazaliwa!
Au hufahamu hata kwenye Zaburi hilo neno limetumika sana?! Wakati Zaburi inaingia Yesu aliyekuja kuutangaza Ukristo alikuwepo?!
Hivi ukipata mwanamke mzuri mwenye viwango huwezi kumsifu Mungu?!
Yaani wewe ndo wale wanaosemaa Asalaam Alyekum ni neno la Kiislamu wakati ni greetings in Arabic!!!
HeheheNyuma ya pazia kutakua kuna Dirisha au mlango kama sijakosea