Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,548
- 1,744
Hizi kambi pinzani zisizo rasmi zinasikitisha,while Diamond and Kiba are making money through their musics kuna watu wanashinda wakibishana na kutukanana mitaani na kwenye social media bure.
Kama Mange hamkubali Diamond kuna ubaya gani wakati wewe humkubali Ally Kiba? Why can't you guys be democratic by allowing freedom of expression? Si kila ukipendacho kila mtu atakitaka,unampenda Diamond then shout out for Diamond na hasiye mpenda Diamond atamponda tu hata kama Diamond atapata tunzo ya dunia.
Common ,grow up and get life sucker!