Kwa “nonsense” ya Sukari, Rais Samia anastahili pongezi. Je, tuishie kwenye "nonsense" ya Sukari tu au tuangazie na "nonsense" nyingine zote?

Wafanyabiadhara walikutana na Samia alipokuwa Zanzibar na wakamshawishi atekeleze hiyo “ Nonsense “ Deep State in action!
 
Unawezekana ni kizamani je wewe ungepropose nini hapo penye nafasi finyu kiasi hicho. Shida ni nafasi hata ubungo kulikuwa hakuna nafasi ya interchange bali kaflyover kadogo kama mnavyoiona. Tusilalanike tu bila kujua chimbuko la kilichopo.
 
Issue ya majiji mengi Tanzania ni naturally growing Towns to Cities. Miji mingine ilianza kama fishing landing sites, masoko ya mifugo, mazao leo hii imekuwa miji imekuwa hivyo hadi leo. Tatizo ni mipango miji, poor planning of cities. Ndio ukienda Ulaya unakuta old towns na new towns with wide roads and interchanges/fly overs nk. Jiji kama la Dar es Salaam ilibidi watu wa mipango miji wawe wameliona na kushift na kujenga jiji jipya penye nafasi na kuweka all morden infrustructures au kuhamisha facilities zinazofuatwa city center na kuzipekeka nje ya mji ha huko kupima na kujenga jiji jipya.
 
Tatizo kubwa la Dar es Salaam ni location ya bandari ya Dar es Salaam kwa kiasi kikubwa, Serikali ingeweza kutafuta njia mbadala ya kufikia bandari bila kupitia Buguruni, Ubungo hadi kibaha/Mwenge/Bagamoyo lingesaidia sana. Ndio maana ni wazo zuri kujenga Bandari Bagamoyo.
 
Tulipongeza kwa hii nonsense ya sukari, sijui tupongeze au...?.
P
 
Aliyekuwa Waziri wa kilimo Adof Mkenda alitukanwa hadharani kwa kuambiwa NOSENSE kisa tu alikataa kutoa vibar vya kuagiza sukari kinyume cha sheria kwa WAUZA VOCHA waandishi wakongwe mnaona sawa tu
[/QUOTE] karibu pande hizi
P
 
Aliyekuwa Waziri wa kilimo Adof Mkenda alitukanwa hadharani kwa kuambiwa NOSENSE kisa tu alikataa kutoa vibar vya kuagiza sukari kinyume cha sheria kwa WAUZA VOCHA waandishi wakongwe mnaona sawa tu
karibu pande hizi
P
[/QUOTE]
As long as walileta sukari hao akina Itel Africa Stationery na Zenj General kisha bei ya sukari ikateremka kutoka Tsh 10,000 hadi Tsh 3,000, inatosha.

Tena Bashe ongeze kutoa vibali ikibidi hata bodaboda mwenye uwezo wa kuleta sukari alete hadi tufikie Kilo Tsh 1,800/- iliyokuwapo kabla Magufuli hajatibua mwaka 2016.
 
 
Rais Mama Kukaa kimya kuhusu kuto mtumbuwa Wziri Bashe aliyesababisha Sukari kupanda bei pia ni uamuzi wa "nonsense". Wananchi wa hali ya chini kimaisha wanaumia kwa sababu ya mtu mmoja Waziri Bashe kupandisha Bei ya sukari.
 
Rais Mama Kukaa kimya kuhusu kuto mtumbuwa Wziri Bashe aliyesababisha Sukari kupanda bei pia ni uamuzi wa "nonsense". Wananchi wa hali ya chini kimaisha wanaumia kwa sababu ya mtu mmoja Waziri Bashe kupandisha Bei ya sukari.
Wananchi wanaumiaje? Kabla ya Pasaka bei ya sukari ilikuwa Tsh 7,000-10,000 kwa kilo.

Bashe alipotoa vibali iliterrmka hadi Tsh 2,500 -3,000 kwa kilo.

Hebu shirikiisha halmashauri ya ubongo wako
 
Wananchi wanaumiaje? Kabla ya Pasaka bei ya sukari ilikuwa Tsh 7,000-10,000 kwa kilo.

Bashe alipotoa vibali iliterrmka hadi Tsh 2,500 -3,000 kwa kilo.

Hebu shirikiisha halmashauri ya ubongo wako
 
Huyo ndiye aliyeanza kuharibu bei ya sukari mwaka 2016 kwa kukamata magodown ya akina Zakarria, Bakhressa na MoDewji
Pambaneni na Bashe wenu,,,,mnafakamia kurithi kila kitu haya mmerithi na laana

Mwenzenu kiongozi wa malaika huko endeleeni kumtupia lawama yeye anawacheka tu iiiiih
 
Pambaneni na Bashe wenu,,,,mnafakamia kurithi kila kitu haya mmerithi na laana

Mwenzenu kiongozi wa malaika huko endeleeni kumtupia lawama yeye anawacheka tu iiiiihView attachment 3038087
Yuko jehanam, bado shetani anapitia faili lake juu ya UNYAMA aliotenda. Shetani mwenyewe anamuogopa
 
Yuko jehanam, bado shetani anapitia faili lake juu ya UNYAMA aliotenda. Shetani mwenyewe anamuogopa
Angekua jehanam watu wasingekua wanalialia na kila kitu kutaka kuangushia mzigo kwake wakati ni marehemu,,,,,,mliingia kichwa kichwa mtakatifu anawapa za uso na bado....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…