Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
2025 mtajaribu? Mama anakubalika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wamsimamishe Boni yai,anaweza kushinda urais2025 mtajaribu? Mama anakubalika.
View attachment 3043321
Ubongo wa kujibu hoja upo wapi?Aliwachachafya kidogo tu,wakatoka wote kwenye mashimo na kuanza kuongeaongea bila kujibu kitu.Kuwa Rais na kuwa Mgombea wa Urais ni vitu viwili tofauti, Kampeni za Urais ni balaa, Jiwe na Kiburi chake alijikuta akipiga magoti hadharani.
Kujibu Spana za mtu kama Lissu si jambo rahisi
TuliaKuwa Rais na kuwa Mgombea wa Urais ni vitu viwili tofauti, Kampeni za Urais ni balaa, Jiwe na Kiburi chake alijikuta akipiga magoti hadharani.
Kujibu Spana za mtu kama Lissu si jambo rahisi
Ndo mnavyomdanganya?.2025 mtajaribu? Mama anakubalika.
View attachment 3043321
wengine hapo wameenda kumwona tu Rais anafananaje, hata hawamsapoti. though kiuhalisia, upinzani sasahivi hawana kitu kabisa hata wasiojulikana hawana haja ya kuteka watu nakuumiza watu kwa kitu ambacho sio threat. acheni kuumiza watu aisee.2025 mtajaribu? Mama anakubalika.
View attachment 3043321
Machawa wengine nani huwa anawapa kazi? Yaani unashangazwa na mtu anachoandika, eti ndiye chawa2025 mtajaribu? Mama anakubalika.
View attachment 3043321
Sisy upo? 😀Wamekuja wapate chochote, hali ngumu huko. Wanawajua ccm nyakati hizi, wataambulia yale malonya ya t-shirt, khanga. Ahadi hewa washazoea..
Nipo odo angu, umeonaee tujikomboe tu wenyewe, hakuna namna. Huwa unaangalia wanaume eneo gani? 😆😆😆😆Sisy upo? 😀
Hii nchi tunatakiwa wananchi tujikomboe wenyewe tu.!!
Umesahau mimi mtawa 😜Nipo odo angu, umeonaee tujikomboe tu wenyewe, hakuna namna. Huwa unaangalia wanaume eneo gani? 😆😆😆😆
SituliiiTulia