BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hao wamesombwa kwa mabasi nilikuwepo hapo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wamesombwa kwa mabasi nilikuwepo hapo,
Nyomi haiji bila kuwaleta wasanii kama Harmonize na wengine.Ukitaka kuamini kwamba hamtishi, wekeni tume huru ya uchaguzi, wakurugenzi wasiwe wasimamizi wa uchaguzi na jeshi la polisi litoe fursa sawa kwa wagombea wote kujinadi bila kurusha maji ya kuwasha na mabomu kwa baadhi yao.
Nyomi haiji bila kuwaleta wasanii kama Harmonize na wengine.Ukitaka kuamini kwamba hamtishi, wekeni tume huru ya uchaguzi, wakurugenzi wasiwe wasimamizi wa uchaguzi na jeshi la polisi litoe fursa sawa kwa wagombea wote kujinadi bila kurusha maji ya kuwasha na mabomu kwa baadhi yao.
wale wakurugenzi wote waliosimamia uchaguzi wa msimu uliopita wajiandae kwenda kujielezea kwa sir god kwa kile walichokifanyaSiku ukijua Robo tatu ya watañzania ni dependent na hawana shughuli maalumu na wengi NI jobless WALA hutoshangaa Kwa nini wamejaa kwèñye mikutano.
Watu wañajaa kwèñye mihadhara ya midahalo ya Dini sembuse sîasa.
Lisu alikuwa anajaza lakini kaambulia Kura below 2m
Mh!Chagu hatimaye umeungana na luca,kweli uchaguzi umewadia.
Hebu ulizia wame okotwa mikoa mingapi kwa malori?
It’s only stay in your head mtapigwa mapema kama mmesimama vile.Ndo mnavyomdanganya?.
CCM kama hamtamsimamisha Mgombea mwingine,
SAMIA HAKUBALIKI
Tuwaulize madereva wa yale magari ya kwenda minadani,tutaujua ukweli.Hebu ulizia wame okotwa mikoa mingapi kwa malori?