Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ule haukuwa uchaguzi wa kuufanyia rejea, tafuta sample nyingineSiku ukijua Robo tatu ya watañzania ni dependent na hawana shughuli maalumu na wengi NI jobless WALA hutoshangaa Kwa nini wamejaa kwèñye mikutano...
Nyomi ya kubebwa kwenye malori ka mbuzi na Ng'ombe,toka sehemu mbalimbali kumfurahisha CHURA KIZIWI? churaaaaaaaaaa🐸🐸🐸🐸🐸 wa KIZIMKAZI???🤣🤣🤣🤣
Chagu hatimaye umeungana na luca,kweli uchaguzi umewadia.
Wasanii walikuwapo? Ndo tulienda kuwaona. Usafiri wa Malori je aka Fuso?
Naunga mkono hoja, hata sisi tumewashauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
Nyomi siyo Shida, Shida ni elimu na upana wa uelewa. Ukiwa upo sawasawa huwezi kwenda kwenye mkutano wa matapeli. Ujinga ni mtaji kwa tapeli
Watu wamesombwa kutoka mikoa mbalimbaliTulikuja kuangalia v8 na ving'ora vya mama.
Unakuta kuna wanafunzi na walimu wao lazima waende, wana CCM wanasombwa kutoka vijijini, watumishi wa umma wanalazimishwa, lazima mkutano ujae haswaNyomi siyo Shida, Shida ni elimu na upana wa uelewa. Ukiwa upo sawasawa huwezi kwenda kwenye mkutano wa matapeli. Ujinga ni mtaji kwa tapeli
Wamesombwa na malory kutoka sehemu mbalimbaliWamekuja wapate chochote, hali ngumu huko. Wanawajua ccm nyakati hizi, wataambulia yale malonya ya t-shirt, khanga. Ahadi hewa washazoea..
Uliza gharama zilizotumika apo kwanza kubeba watu
Zaidi ya 1B kumfurahisha maza, ni mambo ya kitape kitapeli tupuUliza gharama zilizotumika apo kwanza kubeba watu
Siyo kweli.Siku ukijua Robo tatu ya watañzania ni dependent na hawana shughuli maalumu na wengi NI jobless WALA hutoshangaa Kwa nini wamejaa kwèñye mikutano.
Watu wañajaa kwèñye mihadhara ya midahalo ya Dini sembuse sîasa.
Lisu alikuwa anajaza lakini kaambulia Kura below 2m
Huo ni ukweli. Lakini pia haiondoi ukweli.Hawa mliowabeba kwenye maroli?