Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Hawa jamaa wanahitaji pongezi kwa namna wanaaenda kwao kurudisha kilichopatikana pamoja na kujiweka tayari kwa kuingia mwaka mwingine.
Hakika kwa misafara ya magari yanayoelekea Kaskakazini especially Moshi ni dhahira tunapasaa kusema utamaduni huu umekua kivutio kikubwa sanaa ndani na nje ya mipaaka ya Tanzania.
Nimeona Week hii Arusha ikivyoja , nimeona zaidi namna Moshi ilivyotapika, hawa ndugu wanajua kuila Disemba.
Kongele Wachaga, Kongole WaKaskazi. 🫡
Hakika kwa misafara ya magari yanayoelekea Kaskakazini especially Moshi ni dhahira tunapasaa kusema utamaduni huu umekua kivutio kikubwa sanaa ndani na nje ya mipaaka ya Tanzania.
Nimeona Week hii Arusha ikivyoja , nimeona zaidi namna Moshi ilivyotapika, hawa ndugu wanajua kuila Disemba.
Kongele Wachaga, Kongole WaKaskazi. 🫡