Kwa pesa zetu za ndani

Kwa pesa zetu za ndani

W
Waulize wakenya jinsi wanavyokamuliwa kodi ili kulipa interests za hiyo mikopo unayoita ya muda mrefu. Jifunze uchumi kaka, kuna kipindi cha kulima na kipindi cha kuvuna, unapolima lazima ujifinge mkanda, wewe unataka muda wote use unakula kuku, jikaze mwanaume, waulize waisrael waliporudi kwao baada ya vita kuu ya pili, walipata shida sana kuijenga Israel unayoiona Leo.
Wewe unabisha nini,miradi kama hiyo ya muda mrefu inatakiwa kuwa financed kwa mikopo sijui wewe umesema uchumi gani hadi usijue kwamba we agree to disagree
Nachosema hapa hadi riba zikijakuiva tayari uchumi utakuwa umekuwa mkubwa kuweza kuhimili malipo ya riba,,kutumia nusu ya bajeti kugharamia hiyo miradi kunaua uchumi wa ndani kuliko faida itakayopatikana
 
Unajua hii mijamaa ya CHADEMA inafurahia nini kukwama kwa miradi mikubwa ya kitaifa kwa maendeleo ya watanzania. Hii mijamaa imelaaniwa kabisa. Sijui inatumiwa na mabeberu?
mabwana zao wa Yuroper walitoa fedha kuwasaidia ktk uchaguzi wana wasubiri waingie madarajani ili wagawane keki ya utajiri wa Tz mategemeo yametoweka siku baada ya siku 🤔
 
Awamu hii taarifa nyingi sana ni za kunjunga njunga na kuremba remba ili mambo yaoenekane yapo sawa...



Cc: mahondaw
 
W
Wewe unabisha nini,miradi kama hiyo ya muda mrefu inatakiwa kuwa financed kwa mikopo sijui wewe umesema uchumi gani hadi usijue kwamba we agree to disagree
Nachosema hapa hadi riba zikijakuiva tayari uchumi utakuwa umekuwa mkubwa kuweza kuhimili malipo ya riba,,kutumia nusu ya bajeti kugharamia hiyo miradi kunaua uchumi wa ndani kuliko faida itakayopatikana
Wewe umetoka wapi?, waulize hapo Kenya, mkopo waliochukua kujenga SGR umeshaiva na wameanza kulipa wakati SGR haijaanza kumudu hata kurudisha gharama za uendeshaji, wewe unaishi dunia gani?.
 
Wameamua kutoza hadi kodi ya nywele bandia/wig ilmradi mambo yaende, kule Bongo watu wanalia, sio mchezo.
unaacha kichukua kodi kwenye bidhaa zisizo za msingi unaweka bidii kuchukua kwenye madawa na bidhaa za kilimo,only in kunya land
 
unaacha kichukua kodi kwenye bidhaa zisizo za msingi unaweka bidii kuchukua kwenye madawa na bidhaa za kilimo,only in kunya land
Mnaokota Kodi ya shillingi ngapi na usione aibu kuitaja?
 
Mnaokota Kodi ya shillingi ngapi na usione aibu kuitaja?
Kodi yenu mnafanyia nini, na usione aibu kusema, hata mikopo kurudisha mnaenda kukopa ili kurudisha mikopo ya zamani. Mchina amewastukia mtashindwa kumrudishia pesa yake, kaamua kuitelekeza reli porini, uwezo wa kuimalizia hamna wakati wakenya kila mwaka wanasomewa bajeti kubwa. Failed state.
 
Kodi yenu mnafanyia nini, na usione aibu kusema, hata mikopo kurudisha mnaenda kukopa ili kurudisha mikopo ya zamani. Mchina amewastukia mtashindwa kumrudishia pesa yake, kaamua kuitelekeza reli porini, uwezo wa kuimalizia hamna wakati wakenya kila mwaka wanasomewa bajeti kubwa. Failed state.
Kodi yenu ni Ksh 600b - budget$14b - Misahada 49% - SGR Km 50 zimewashinda GDP $60b - population 60million 😪😪

Kenya Kodi 1.2trillion - budget twice Tz($30b) - Misahada 5% SGR 600+ Km na inafanya Kazi - GDP $100b - population 45million 😍😍

Tanzania ni Dead State 😂😂😂
 
Kodi yenu ni Ksh 600b - budget$14b - Misahada 49% - SGR Km 50 zimewashinda GDP $60b - population 60million [emoji25][emoji25]

Kenya Kodi 1.2trillion - budget twice Tz($30b) - Misahada 5% SGR 600+ Km na inafanya Kazi - GDP $100b - population 45million [emoji7][emoji7]

Tanzania ni Dead State [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha, pesa hainyeshwi katika makaratasi, onyesha kwanini mnashindwa kumalizia kipande cha reli toka Naivasha hadi Kisumu baada ya China kujitoa?. Hiyo pesa yenu inafanya kazi gani?. Failed state ninyi.
 
Hahahahaha, pesa hainyeshwi katika makaratasi, onyesha kwanini mnashindwa kumalizia kipande cha reli toka Naivasha hadi Kisumu baada ya China kujitoa?. Hiyo pesa yenu inafanya kazi gani?. Failed state ninyi. GDP yet ni ndogo kuliko yenu Nyang'au nyinyi ila tuna Jiwe
Nimekupatia data wewe unanilatia mdomo...potelea mbali baboon IQ...Reli yenu imekwamia Kibaha na uko na guts za kuniambia mambo ya Kisumu, mkwamue Kwanza hiyo ya Kibaha. bure kabisa takataka meffi ya kuku Dead State kinyesi nation.😂
 
Nimekupatia data wewe unanilatia mdomo...potelea mbali baboon IQ...Reli yenu imekwamia Kibaha na uko na guts za kuniambia mambo ya Kisumu, mkwamue Kwanza hiyo ya Kibaha. bure kabisa takataka meffi ya kuku Dead State kinyesi nation.[emoji23]
Acha ukichaa wako, utajisifiaje una pesa wakati miradi unakopa, na unapokosa mikopo miradi mnaitelekeza porini. Ninyi ni wazee wa kupika data, hatutaki data, tunataka kuona miradi inayofanywa na hiyo pesa, Hahahahaha, Hahahahaha. GDP ya kupika hiyo, wachina wameistukia.
 
Acha ukichaa wako, utajisifiaje una pesa wakati miradi unakopa, na unapokosa mikopo miradi mnaitelekeza porini. Ninyi ni wazee wa kupika data, hatutaki data, tunataka kuona miradi inayofanywa na hiyo pesa, Hahahahaha, Hahahahaha. GDP ya kupika hiyo, wachina wameistukia.
Wacha longolongo 😂😂😂😂 SI yenu mnaitelekeza Kibaha 😂😂😂
 

Ndio, hapa ni Kibaha. Tano tenaaa

Kibaha haipo Kenya...SGR Kenya 600Km 4million passengers so far hata imeizidi JNIA inayichezea 2million passengers.

SGR Tz Kibaha 10km from Dar 0million passengers so far

😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom