Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mike Tyson sio?Trump katika utafutaji wake aliwahi kuwa kibarua wa mpiganaji mmoja hivi huko zamani..
Hivi ni kwa nini interests zenu mnatakaga ziingie na kwenye maisha ya wengine?Mali zote hizi halafu unazaa watoto wawili tu..
😭😭😭
For real... sijui boss wake anafeli wapiMike Tyson sio?
Kabisa mkuu, sio hata za kumhofia kuwa amefuja kama ilivyo kwa hawa jamaa wa KIJANINa yote kayapata kabla ya kua rais
Watu wangeringa sanaIngekuwa duniani tunaishi milele..........
malizia sentensi hii