Kiranga tena?zerominus10 Poor Brain Manyanza
Tunasubili nini bongo hapa kwanini tusisepe zetu mambele
Mbona nasikia watu huwa wanalala kwenye magari@kiranga
Sio tu kuanza Moja, alikua na madeni balaa.Alifilisika akaanza moja?
Huyo kabalikiwa
Trump sio msukuma wa sengeremaMali zote hizi halafu unazaa watoto wawili tu..
😭😭😭
Asante sana mtumishi.... Hahahaaa huyu bwana ako na uwezo mkubwa wa kutafsiri maono na kuyaleta kwenye uhalisia wake.AMINA na kwako pia mtumish
Hii hatma ya Trump inaitwaje kilaamu
Baraa ni kitu gani?Ni baraa
Amani ya Kristo iwe nawe usishike mapangaTafuta pesa acha makasiriko
💯Watoto wa kibongo hovyo sana
Unawachia mali zenye thamani ya billion 7 siku ukifa baada ya mwezi wanaziuza kwa milion 70
Hakika alijua kipawa kilicho ndani yake akakileta kwenye uhalisiaAsante sana mtumishi.... Hahahaaa huyu bwana ako na uwezo mkubwa wa kutafsiri maono na kuyaleta kwenye uhalisia wake.
Msifu wewe inatosha mkuuTumsifu YESU KRISTO mtumish
SanaWatoto wa kibongo changamoto sana mtumish
Nina shuhuda nyingi sana juu yao
Siyo watoto tuu, eti ana mke mmoja tuu! Hàya ni matumizi mabaya kabisa ya fedha.Mali zote hizi halafu unazaa watoto wawili tu..
😭😭😭
Kabisa mkuu hela zote alafu una mke mmoja sii bora tuu akate dudu lake.Siyo watoto tuu, eti ana mke mmoja tuu! Hàya ni matumizi mabaya kabisa ya fedha.
Sijui ametafuta hela za kazi gani?
Eti mzabzab ?
Nasikia jamaa ana kibamia ndo maana hapendi mademuKabisa mkuu hela zote alafu una mke mmoja sii bora tuu akate dudu lake.
Matumizi ya hela ni kugegeda mbususu. Kwanza unasambaza upendo maana wanawake wanape da wanaune wenye mihela