Elections 2010 Kwa Picha Hii Ahadi za CCM kuwapatia huduma bora watanzania itawezekana?!

Elections 2010 Kwa Picha Hii Ahadi za CCM kuwapatia huduma bora watanzania itawezekana?!

watu wamelala chini huku wakuu wanatembea na suti na umoka wa hali ya juu, too bad...
 
Hii ndiyo tanzania ya karne ya 21 and 50 years after Uhuru na ni Hospital ya taifa. Kweli CCM wajivunie nini? shule mbovu, hospital Mbovu, Vyuo ovyo, barabara ovyo mpaka za Dar anakopita Rais. Can CCM stand tall and say they deserve to lead this government? Huko Mwananyamala ni balaa usiseme where should we go?
 
Unaweza kuta waliiipigia kura CDM ila Kilavo akachakachuaaaaaaaaaaaaaa
 

Waziri wa Afya Mh. Mponda (Mb) wa kwanza kushoto mwenye suti nyeusi akitembezwa kuangalia huduma za afya katika hospitali kubwa kuliko zote na ya kisasa ya Muhimbili Dar-es-Salaam.

Hapo tunaona Hospitali ya Taifa ilivyofurika na wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda na wodi za kutosha.

Katika uchaguzi CCM iliahidi kuboresha zaidi huduma na kuongeza huduma za tiba za kisasa zaidi kwa Watanzania. Hapo waziri na timu yake lazima watakuwa wamewasili na magari ya bei mbaya ( mashangingi) huku wagonjwa na watoa huduma za afya kama madaktari, manesi, wafamasia n.k wakiwa na wakati mgumu.
http://api.ning.com/files/6HcaJW81b...D9QTq7ge6IGxDUediD8RdiC9ypWACCceVP/Wodini.jpg

Journalists, nawaomba muendelee kutuletea habari na picha kama hizi ili kuiwajibisha serikali. Kwa upende wa Mwananchi, Picha kama hizi zisisubili wakati wa Uchaguzi maana wataendelea kuwambia mnadharau serikali. Lakini ukweli unauma, wote tunajua. Bravo kwa aliyepiga picha hii.
 
Hii ndiyo tanzania ya karne ya 21 and 50 years after Uhuru na ni Hospital ya taifa. Kweli CCM wajivunie nini? shule mbovu, hospital Mbovu, Vyuo ovyo, barabara ovyo mpaka za Dar anakopita Rais. Can CCM stand tall and say they deserve to lead this government? Huko Mwananyamala ni balaa usiseme where should we go?

What you have written is fine but those are the ones CCM and Kikwete dont want to hear. They realy enjoy spending our tax the way they want not even spending 40% if the income to the people! Shame on them.

Gazeti likiandika huo ukweli, kesho yake linakalipiwa. linafungiwa, wahariri wanamwagiwa tindikali n.k That is CCM Juu!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
watu wamelala chini huku wakuu wanatembea na suti na umoka wa hali ya juu, too bad...

Waziri mwenyewe anaona aibu kuangalia wagonjwa, anaangalia pembeni! Na hapo hataki maswali ya waandishi maana hatakuwa na jibu.
:A S-alert1:
 
marafiki, Hiyo picha haifunguki naomba ikuze tuione. Ni aibu sanaaaaaaaaaaaaa JK
 
Hapo mbona pana nafuu, nenda mwananyamala kwa wajawazito, hata hiyo korido haipitiki kulivyojaa wazazi.

We are 2000 years back kwa kweli.
 

Waziri wa Afya Mh. Mponda (Mb) wa kwanza kushoto mwenye suti nyeusi akitembezwa kuangalia huduma za afya katika hospitali kubwa kuliko zote na ya kisasa ya Muhimbili Dar-es-Salaam.

Hapo tunaona Hospitali ya Taifa ilivyofurika na wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda na wodi za kutosha.

Katika uchaguzi CCM iliahidi kuboresha zaidi huduma na kuongeza huduma za tiba za kisasa zaidi kwa Watanzania. Hapo waziri na timu yake lazima watakuwa wamewasili na magari ya bei mbaya ( mashangingi) huku wagonjwa na watoa huduma za afya kama madaktari, manesi, wafamasia n.k wakiwa na wakati mgumu.
http://api.ning.com/files/6HcaJW81b...D9QTq7ge6IGxDUediD8RdiC9ypWACCceVP/Wodini.jpg

Kati ya hao aliolala chini huwenda ali ipigia kura CCM, waziri anapita wala hamjali, nadhani anajutia maamuzi yake?
Waziri ana angalia chini anaona aibu! Dawa siyo kuimarisha hospitali ya Mwananyamala wala nini. DAWA NI KUJENGA HOSPITALI KUBWA KULIKO YA MUHIMBILI na kuvutia MADAKTARI walioko nje warudi na wanafunzi wengi wasomee sekta ya afya.
 
Duh! waziri amekwepesha uso wakati mgonjwa anajitahidi kumwangalia..Sad and heartbreaking in deed
 

Waziri wa Afya Mh. Mponda (Mb) wa kwanza kushoto mwenye suti nyeusi akitembezwa kuangalia huduma za afya katika hospitali kubwa kuliko zote na ya kisasa ya Muhimbili Dar-es-Salaam.

Hapo tunaona Hospitali ya Taifa ilivyofurika na wagonjwa wakiwa wamelala chini kwa kukosa vitanda na wodi za kutosha.

Katika uchaguzi CCM iliahidi kuboresha zaidi huduma na kuongeza huduma za tiba za kisasa zaidi kwa Watanzania. Hapo waziri na timu yake lazima watakuwa wamewasili na magari ya bei mbaya ( mashangingi) huku wagonjwa na watoa huduma za afya kama madaktari, manesi, wafamasia n.k wakiwa na wakati mgumu.

Inasikitisha.

Lakini shujaa zaidi ni huyo mtu wa Muhimbili ambaye atakuwa aliamua kumpitisha huko Waziri na kumuonyesha hali halisi. Huyo ndiyo anatakiwa asifiwe kwa hilo.

Waziri akiona hivyo na serikali isifanye kitu, hilo ni tatizo kubwa. Kama haonyeshwi vitu kama hivi, watajipa sababu kuwa hawajui nini kinaendelea.

Bora aone hata kama anaangalia chini, lakini kesho atafikiri kidogo.
 
na JK aliahidi hospital za rufaa kama 5 hivi, hii mija tu yatutoa jasho!
 
Waliolals chini sio watu ni mbwa wanaonuka ndio maana jamaa wanaangalia chini wasichafue viatu vyao

Mimi sioni huruma hata kidogo, tuliwaambia wasichague tena hawa majizi ya CCM sasa shauri yao. Mimi siingii humo.
 
Sikumpa kura yangu ccm. Doen't worry me lt them suffer those who casted.
 
Kwa serikali hii kulimaliza hili tatizo bado ni ndoto...
 
Jamaa naona hawataki hata kuwatazama vizuri wagonjwa waliolala chini,wanaona aibu!na bado hapa ni usanii mtupu!!
 
Hakika hivi ndivyo ilivyo. Swali langu ni kuwa je ilikuwa lazima aende huyo Waziri na waandishi kedekede kwani si anaifahamu hiyo hali siku zote? Hajawahi kuuguliwa au kutembelea Muhimbili? Haikuwa na haja ya publicity yeye angeenda kimya kimya tu.
 
Zamani hata mimi nilikuwa nadhani ni hivyo (kwenye red), lakini kumbe hata tusipowachagua WATACHAKACHUA TU!! Inauma sana wanapotawala kwa mabavu wakati sisi hatuwataki!
Sasa hivi wamejifunza la ziada huko Ivory Cost, Tume ikiwapiga chini watatumia mahakama ya katiba kuwatangaza na kuapishwa. Kweli tunademokrasia
 
Na bado wale watakoletwa na bajaj kuja kujifungua, wakati waziri 'possibly' atakuwa amekuja na ...........(malizia mwenyewe)
 
Back
Top Bottom