Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakamfundisha na kunyoa vzr c km kibaka tenaaKweli Simba mnajua kulea,Chama ukimuonyesha hii picha anakupiga ngumi
Ni kweli, amekuwa muungwana sana. By the way, kupata sh. Milioni 776 kwa mwaka mmoja tu kutoka Yanga ni kipato kikubwa sana, yaani sh. 380M za signing fee plus sh. 396M za salary, hapo bado posho nyingine pamoja na kusomeshewa watoto. Kwa kweli acha akazichukue tu ili aweze kufaidi kipaji chakeAmeaga vizuri sana..
Simdai wacha aende utopoloni akastaafu...
Khaaa ma utopolo majinga kweli aisee...ndo yanampa mshahara mkubwa hivyo kisa tuu wampate...ujinga aiseeNi kweli, amekuwa muungwana sana. By the way, kupata sh. Milioni 776 kwa mwaka mmoja tu kutoka Yanga ni kipato kikubwa sana, yaani sh. 380M za signing fee plus sh. 396M za salary, hapo bado posho nyingine pamoja na kusomeshewa watoto. Kwa kweli acha akazichukue tu ili aweze kufaidi kipaji chake
Yeah, amepewa $150,000 signing fee na $13,000 monthly salary kwa mkataba wa mwaka mmojaKhaaa ma utopolo majinga kweli aisee...ndo yanampa mshahara mkubwa hivyo kisa tuu wampate...ujinga aisee
Kama hii ya Msigwa wakati anajiunga ChademaKweli Simba mnajua kulea,Chama ukimuonyesha hii picha anakupiga ngumi
Ngoja akale hela ya mkwepa kodi mbobevuAmeaga vizuri sana..
Simdai wacha aende utopoloni akastaafu...
Lakini hata Simba nayo inatakiwa kumshukuru. Maana ameifanyia mambo makubwa sana katika misimu yote aliyoichezea.
Hapa alikuwa hajaungua bado na Gitaa la Dally Kimoko. Chezea Mademu wa Mbezi Beach Kwa Zena na Beach Kidimbwi?
Sasa vita gani hapo ingetokea! Chama akishamaliza mkataba! Na timu yenu inahitaji kujisafisha ili kurudi katika ubora wake!Simba tunajua Mpira kuliko utopolo.
Ingekuwa wao sasa.vita kila sehemu ila Simba walaa wewe nenda tu