Kwa picha hii Chama ndio anastahili kusema Than You kwa Simba na si vinginevyo

Kwa picha hii Chama ndio anastahili kusema Than You kwa Simba na si vinginevyo

Sasa vita gani hapo ingetokea! Chama akishamaliza mkataba! Na timu yenu inahitaji kujisafisha ili kurudi katika ubora wake!

Chama ni kati ya wachezaji ambao hawakuwa na wakati mzuri msimu uliomalizika kiasi cha kufikia hatua ya kusimaishwa na klabu! Chama ameichezea simba kwa misimu sita! Kwa hiyo lilikuwa ni jambo sahihi kwake kutafuta changamoto mpya.

Kiufupi Chama hana tofauti na Jonas Mkude mliyemuacha msimu uliopita.
Kwani mayele na feisal ilikuwaje?Acha ya morrison.
Nyie mchezaji amalize mkataba au avunje mkataba kama bado mnamtaka anakuwa adui yenu
 
Back
Top Bottom