Kwa picha hii, kumbe mwenzetu alijua matokeo mapema.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Mtanzania aliyeko kwenye picha hapa chini alikuwa anatuinjoi tu, kumbe mwenzetu alijua mapema tutapigwa miradi 3 mikubwa (stiglas, Sgr na Drimlaina) na jirani zetu Kenya.
 
Vita ya mashoga in Mungu mwenyewe akiamua kutia kiberiti kama ile sodoma na gomora
Ila still mashoga hawataisha
 
Bashite angeshinda ningeshangaa sana haijawahi tokea bashite akashinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…