Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Jun 28, 2019 #1 Mtanzania aliyeko kwenye picha hapa chini alikuwa anatuinjoi tu, kumbe mwenzetu alijua mapema tutapigwa miradi 3 mikubwa (stiglas, Sgr na Drimlaina) na jirani zetu Kenya.
Mtanzania aliyeko kwenye picha hapa chini alikuwa anatuinjoi tu, kumbe mwenzetu alijua mapema tutapigwa miradi 3 mikubwa (stiglas, Sgr na Drimlaina) na jirani zetu Kenya.
Asprin JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,223 Reaction score 96,083 Jun 28, 2019 #2 Mungu wa Bashite kagoma kusikiliza sala za wanaCCM. Wenzetu wamepeleka timu ya Taifa sisi tumepeleka timu ya chama. Basi tena... tumejifunza.
Mungu wa Bashite kagoma kusikiliza sala za wanaCCM. Wenzetu wamepeleka timu ya Taifa sisi tumepeleka timu ya chama. Basi tena... tumejifunza.
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jun 28, 2019 #3 Maombi yetu kwa Harembee yamepokelewa timu ya CCM awamu ya tano ijipange upya.
Mundamushimu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2017 Posts 754 Reaction score 432 Jun 28, 2019 #4 Sky Eclat said: Maombi yetu kwa Harembee yamepokelewa timu ya CCM awamu ya tano ijipange upya. Click to expand... Tumbafu
Sky Eclat said: Maombi yetu kwa Harembee yamepokelewa timu ya CCM awamu ya tano ijipange upya. Click to expand... Tumbafu
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 7,938 Reaction score 17,729 Jun 28, 2019 #5 Vita ya mashoga in Mungu mwenyewe akiamua kutia kiberiti kama ile sodoma na gomora Ila still mashoga hawataisha
Vita ya mashoga in Mungu mwenyewe akiamua kutia kiberiti kama ile sodoma na gomora Ila still mashoga hawataisha
pakaywatek JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 4,660 Reaction score 6,282 Jun 28, 2019 #6 Bashite angeshinda ningeshangaa sana haijawahi tokea bashite akashinda.
mjanja wa kijiji JF-Expert Member Joined Oct 2, 2018 Posts 1,582 Reaction score 4,378 Jun 28, 2019 #7 safi sana
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Jun 28, 2019 #8 Gundu tu na pete za kichawi.