Kwa poor performance aliyonayo kipa Emmanuel Msejja kwa nini hakutemwa dirisha dogo? nani anambeba?

Kwa poor performance aliyonayo kipa Emmanuel Msejja kwa nini hakutemwa dirisha dogo? nani anambeba?

Emanuel Mseja
Ni golikipa Mzuri sana.
Tatizo liko kwa wachezaji
1. Hawana mfungaji mahili wa magoli
2. Hawajitumi kushambulia kwa nguvu.
3. Wanaishiwa pumzi haraka
4. Hawafungi magoli mfano jana na juzi Simba ingeweza kushinda kwa 3-1 au 2-1
5. Simba haina wafungaji magoli wa uhakika vijana wenye nguvu, Bocco ni mtu mzima hana kasi Okwi ndio walewale.
5. Mabeki wana kawaida ya kujisahau. Angalia goli la Azam, URA na La Chirwa la kusawazisha kwenye Ligi.
Timu haifungi magoli tunamlaumuje Kipa
Emanuli Mseja ?
Inamaana mlitaka mechi zote ziwe 0 - 0 yaani bila bila ?
Kipa asifungwe na timu isifunge.
Timu zinazifunga nazo zinafungwa pia ila zinazidi magoli yaani matokeo yanakuwa 4-2, au 3-1 au 2-1.
Kipa mseja ni mzuri kwani hata Manula naye anafungwa tena magoli rahisi kabisa.
Goli la Azam na URA kipa yeyote yule anafungwa pia kumbukeni hizo timu zimeshawahi kuifunga Simba na Mseja hakuwepo Langoni.

Simba tatizo ni WAFUNGAJI magoli na sio KIPA.

Asante Kwasi.
Bado kipa ni dhaifu sana, magoli yote aliyofungwa kwenye kombe la Mapinduzi alikuwa analengwa yanampita mkononi
 
Bado kipa ni dhaifu sana, magoli yote aliyofungwa kwenye kombe la Mapinduzi alikuwa analengwa yanampita mkononi
Basi tufanye hivi
Mechi ya kwanza simba ilitoka na matokeo ya 1-1 point 1
Mechi ya pili 3-1 point 3
Ya tatu tufanye 0-0 point 1
Ya nne 0-0 point 1
Jumla point 6
Bado timu ya Simba ingetolewa tu Azamu na URA wangepita vile vile walishashinda mechi tatu.

Je hapo tatizo ni la golikipa ?
 
Basi tufanye hivi
Mechi ya kwanza simba ilitoka na matokeo ya 1-1 point 1
Mechi ya pili 3-1 point 3
Ya tatu tufanye 0-0 point 1
Ya nne 0-0 point 1
Jumla point 6
Bado timu ya Simba ingetolewa tu Azamu na URA wangepita vile vile walishashinda mechi tatu.

Je hapo tatizo ni la golikipa ?
No sina maana hiyo, nakubaliana na wengi kuwa ushambuliaji sio mzuri Simba ila pia kipa ameonesha performance ya chini sana.
However, kipa mzuri anaweza kuboost morale ya wachezaji na mbovu anaweza kushusha morale ya wachezaji
 
Emanuel Mseja
Ni golikipa Mzuri sana.
Tatizo liko kwa wachezaji
1. Hawana mfungaji mahili wa magoli
2. Hawajitumi kushambulia kwa nguvu.
3. Wanaishiwa pumzi haraka
4. Hawafungi magoli mfano jana na juzi Simba ingeweza kushinda kwa 3-1 au 2-1
5. Simba haina wafungaji magoli wa uhakika vijana wenye nguvu, Bocco ni mtu mzima hana kasi Okwi ndio walewale.
5. Mabeki wana kawaida ya kujisahau. Angalia goli la Azam, URA na La Chirwa la kusawazisha kwenye Ligi.
Timu haifungi magoli tunamlaumuje Kipa
Emanuli Mseja ?
Inamaana mlitaka mechi zote ziwe 0 - 0 yaani bila bila ?
Kipa asifungwe na timu isifunge.
Timu zinazifunga nazo zinafungwa pia ila zinazidi magoli yaani matokeo yanakuwa 4-2, au 3-1 au 2-1.
Kipa mseja ni mzuri kwani hata Manula naye anafungwa tena magoli rahisi kabisa.
Goli la Azam na URA kipa yeyote yule anafungwa pia kumbukeni hizo timu zimeshawahi kuifunga Simba na Mseja hakuwepo Langoni.

Simba tatizo ni WAFUNGAJI magoli na sio KIPA.

Asante Kwasi.
Ngoja tufanye mpango wa kumrudisha yule Elias Maguli
 
Taitzo la kipa ni dogo sana kwa simba. Niliandika mara nyingi sana kama mwezi mmoja uliopita hapa jamvini lakini nilishambuliwa sana na wadau.

tatizo la kubwa la simba lilianzia pale walipomtimua mayanja na kumuacha Omog halafu wakaja tena kumtimua Omog badala wamrudishe Mayanja kwa muda mpaka ligi iishe mwakani watafute kocha mwingine viongozi wakalikoroga tena wakamuachia timu djuma. timu inamiliki mpira sana (kwenye mechi karibu zote za mapinduzi ilimiliki mpira vizuri) lakini haina mbinu za kufunga na haina mtu wa kabadilisha matokeo muda wowote kama alivyo okwi

Tatizo kubwa la pili la simba ni kuwa hawana mshambuliaji wa kati atakayempa changamoto boko. Kabla ya dirisha dogo niliandika hapa kuwa simba ina mshambuliaji mmoja tu wa kati wa maana ambaye ni boko hivyo ilihitajika haraka sana watafute mshambuliaji analiyejua goli kwa kichwa, miguu yote miwili na hata sarakasi ili mradi purukushani mpira uingie ndaini badala yake wakaenda kuwekeza kwa kwasi na sasa wanavuna walichopanda. na nilisema hapa waongeze mshambuliaji mmoja wa ndani na mwingine wa nje. nilisema okwi ni winga, gyan ni winga (na imethibitika zanzibar), mavugo ni winga na luizio atolewe kwa mkopo arudishe kwanza kiwango chake kwani tangu aumie hajapata muda mrefu wa kucheza hayo yote yalipuuzwa.

Tatizo kubwa la tatu kwa simba nilisema ni fittnes ya wachezaji wanacheza vizuri dakika 60 tu baada ya hapo kila mtu anajua nini hutokea wanapokutana na timu zilizo na stamina, pumzi na kucheza kwa nguvu nikatoa mfano wa prison. hili pia limetokea kwenye FA cup walipotolewa na timu ya jeshi sijui ipo daraja la ngapi vile.

Kiujumla simba kuanzia golini, beki, katikati na hata winga ipo vizuri shida kubwa ni kocha djuma aondolewe arudishwe mayanja na kamati ya usajili ifutwe kwa sababu walipaswa kutafuta mtu wa kuwa anafunga tu wao wakaleta beki. Pia wachezaji wanaonekana hawana fighting spirit hapa ndio unaona umuhimu wa kuwa na kocha msaidizi matola au julio. kwenye mpira saa nyingine inahitajika kuhamasisha wachezaji wapambane wala sio ufundi ndio maana unaweza kuona timu ya hovyo inampiga barca au madrid.

Kwa mwenendo nina wasiwasi ubingwa tutausikia tena.
Mkuu jitahada zifanyike tumchukue yule Elias Maguli
 
Mkuu jitahada zifanyike tumchukue yule Elias Maguli
Jitihada zilifanyika mkamchukua Manula
Jitihada zilifanyika mkamchukua Nyoni
Jitihada zilifanyika mkamchukua Kapombe
Jitihada zilifanyika mkamchukua Boko
Jitihada zilifanyika mkamrudisha Okwi lakini bado NDOO itaelekea ilikozoea kupiga kambi....Jangwaniiiiiiii!
 
Emanuel Mseja
Ni golikipa Mzuri sana.
Tatizo liko kwa wachezaji
1. Hawana mfungaji mahili wa magoli
2. Hawajitumi kushambulia kwa nguvu.
3. Wanaishiwa pumzi haraka
4. Hawafungi magoli mfano jana na juzi Simba ingeweza kushinda kwa 3-1 au 2-1
5. Simba haina wafungaji magoli wa uhakika vijana wenye nguvu, Bocco ni mtu mzima hana kasi Okwi ndio walewale.
5. Mabeki wana kawaida ya kujisahau. Angalia goli la Azam, URA na La Chirwa la kusawazisha kwenye Ligi.
Timu haifungi magoli tunamlaumuje Kipa
Emanuli Mseja ?
Inamaana mlitaka mechi zote ziwe 0 - 0 yaani bila bila ?
Kipa asifungwe na timu isifunge.
Timu zinazifunga nazo zinafungwa pia ila zinazidi magoli yaani matokeo yanakuwa 4-2, au 3-1 au 2-1.
Kipa mseja ni mzuri kwani hata Manula naye anafungwa tena magoli rahisi kabisa.
Goli la Azam na URA kipa yeyote yule anafungwa pia kumbukeni hizo timu zimeshawahi kuifunga Simba na Mseja hakuwepo Langoni.

Simba tatizo ni WAFUNGAJI magoli na sio KIPA.

Asante Kwasi.
nimecheka sana ulivyo malizia et Asante kwasi, kuna jamaa yangu hataki sikia hili jina
 
nimecheka sana ulivyo malizia et Asante kwasi, kuna jamaa yangu hataki sikia hili jina
Ha..ha..ha...hizi timu zitatutoa Roho siku moja.
Watu wanazipenda sana hadi unashindwa kuwadhibiti.

Eti mtu anakata Roho kisa timu imefungwa, wengine timu ikifunga Wanakata Roho pia.
Hakuna jema hapo, timu ikifungwa au kufungwa mtu anakufa.
Haya ni mapenzi mabaya sana, penda kidogo ili uumie kidogo kwenye matokeo.

Kila kitu kiwe kwa kiasi
Wandugu.
 
Ha..ha..ha...hizi timu zitatutoa Roho siku moja.
Watu wanazipenda sana hadi unashindwa kuwadhibiti.

Eti mtu anakata Roho kisa timu imefungwa, wengine timu ikifunga Wanakata Roho pia.
Hakuna jema hapo, timu ikifungwa au kufungwa mtu anakufa.
Haya ni mapenzi mabaya sana, penda kidogo ili uumie kidogo kwenye matokeo.

Kila kitu kiwe kwa kiasi
Wandugu.
hayo yanaitwa mahaba mkuu, mzee wangu ni msimbazi damu wakati mwingine huwa naiombea ishinde ili awe na furaha maana wakipigwa huwa ni utata.

atakumbushia makosa ya zamani, atafoka hapo ila ikishinda kreti la soda na vinono vingi anakwambia 'njoo ule matunda ya simba, taifa kubwa"
 
Simba, Simba, toto football kwa saaana, magoli hakuna. Hata haieleweki shida nini.
Striker hawalioni goli au…………!!! mtamlaumu Mseja tu.

Nadhani makocha kuna haja ya kubadilisha mfumo, shoo game ioneshwe baada ya kuzifumania nyavu.
Ushindi ndio muhimu.
 
Simba, Simba, toto football kwa saaana, magoli hakuna. Hata haieleweki shida nini.
Striker hawalioni goli au…………!!! mtamlaumu Mseja tu.

Nadhani makocha kuna haja ya kubadilisha mfumo, shoo game ioneshwe baada ya kuzifumania nyavu.
Ushindi ndio muhimu.
Ni kweli mkuu,
Timu zote zinazocheza na Simbs huwa zinautafuta mpirq kwa tochi.
Angalia timu ya Azamu inavyokimbiza na ina vijana wadogo kabisa na inazidiwa umuliki wa mpira kwa asilimia 61 kwa 39.
Huwezi amini lakini ndio ukweli.
Simba inacheza mpira mkubwa sana uwanjani inashindwa kumalizia tu golini pa adui na mwisho wake wanaishia kufungwa.
Ni kama timu ya Uholanzi wakati ule. Kuna siku ktk kombe la dunia Uholanzi ilimiliki mpira kwa 70 dhidi ya 30 za Italia na ikaishia kufungwa goli moja bila.

Simba inabidi ibadilike, ianze kutia nia katika kulifikia lango la adui na sio kupiga pasi nyingi uwanjani zisizo na tija kwa timu.
Simba inahitaji kusajiri washambuliaji vijana wenye kasi kama anayoionesha Emanuel Gyan.
Au kocha amjaribu Gyan namba tisa au kumi anaonekana kuwa na kasi nguvu na uchu wa goli.

Naipenda Simba Daima.
 
Poleni sana mashabiki wa simba kwa timu hii pendwa kuingiliwa na wachezaji wasaka tonge bila kujitoa kwa faida ya timu
Njooni tuujenge mpira singida united.
 
Back
Top Bottom