KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Nimemaliza kazi yangu ya kukupa tuition.Allah Ndio nani hapo?
Na Shoga ndilo nani hapo?
Shateni ni mnasema ni Mtu au Jini mtenda maovu.
Shetani wa hapo ulipo nukuu alikuwa ni Mtu au Jini ?
Kwani Allah hawezi kuongea na viumbe wake?Nimemaliza kazi yangu ya kukupa tuition.
Na sasa ujue Mungu wako anaushirika na SHETANI katika kutenda maovu kwa waja wa Allah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakijibu Hilo tu, tutaelewanaNa wanawake watapata raha gani huko peponi? Nataka kujifunza
Hawa jamaa nao walienda mbali sana, dah.Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Ayubu 2
1 Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za Bwana, Shetani naye akaenda kati yao, ili kujihudhurisha mbele za Bwana.
2 Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi? Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
3 Bwana akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
4 Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.
5 Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
6 Bwana akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
MTU NA SHOGA YAKE WAKIPIGISHA STORI NA KUPEANA MICHONGO YA KUMTESA MJA WA ALLAH!.
Kuna Allah hapo.Ayubu 2
1 Tena kulikuwa na siku hao wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za Bwana, Shetani naye akaenda kati yao, ili kujihudhurisha mbele za Bwana.
2 Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi? Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
3 Bwana akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
4 Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.
5 Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
6 Bwana akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
MTU NA SHOGA YAKE WAKIPIGISHA STORI NA KUPEANA MICHONGO YA KUMTESA MJA WA ALLAH!.
Mja wa Allah ndio nani hapo?Nimemaliza kazi yangu ya kukupa tuition.
Na sasa ujue Mungu wako anaushirika na SHETANI katika kutenda maovu kwa waja wa Allah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.......huyu sheikh bana.Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
wakoloni walikuja na monsoon winds kutuletea hizi dini na zimetushika pabaya sana, hatuchomoki.Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Kuingizwa chaka huko.Utapeli wa kidini. Yaani wewe na akili Yako timamu unajua mtu akifa anafufuka. Siyo kweli kabisa. Halafu kusema watapewa mabikra 70 ni mawazo ya kimalaya na wakati dini inapinga uzinzi. Je wenye ukimwi na magonjwa mengine ya kuambikiza itakuwaje. Tuwe na critical thinking na siyo kufuata mkumbo tu
Nimemaliza kazi yangu ya kukupa tuition.
Na sasa ujue Mungu wako anaushirika na SHETANI katika kutenda maovu kwa waja wa Allah.
Sent using Jamii Forums mobile app