pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Sawa.Swali Je,palikuwa na connection yoyote kutokea Zanzibar kuja Bara ?TVZ now ZBC ilianza kurusha matangazo yake mwaka 1967.
Leta ushahidi ni nani anavunga salama sululu mkono? Hayupo isipokuwa kiwete na genge lake kina kin@Mamilioni ya watanzania wanamuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi.hawataki kuona Rais wetu akijibu uzushi ,utoto utoto na uongo wa kupikwa unaokuwa ukitolewa na wanasiasa uchwara waliofirisika na kuishiwa hoja. Wapinzani janja yenu mlitaka muwe mnazusha vitu vya uongo ili muwe mnajibiwa kuwaweka midomoni.
Sasa Rais hana muda huo mchafu wa kujibu uzushi na uongo .yupo Bize kuwatumikia watanzania na kuwaletea maendeleo,kazi ambayo ndio tuliyomkabidhi na kumpatia.hatumlipi mshahara kukaa ikulu kwa ajili ya kujibu uzushi wa wanasiasa uchwara wa CHADEMA
Ukiona mtu anatukana ni Dalili kuwa ameishiwaMnataka ajibu matusi?
Zanzibar na Magogoni ni pua na mdomo, signal lazima zifike.Sawa.Swali Je,palikuwa na connection yoyote kutokea Zanzibar kuja Bara ?
Kabla sijasoma jina nilipo soma maoni haya nikajua ni bby wake ephen_ kwenye uchawa wake 😁😂Mamilioni ya watanzania wanamuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi.hawataki kuona Rais wetu akijibu uzushi ,utoto utoto na uongo wa kupikwa unaokuwa ukitolewa na wanasiasa uchwara waliofirisika na kuishiwa hoja. Wapinzani janja yenu mlitaka muwe mnazusha vitu vya uongo ili muwe mnajibiwa kuwaweka midomoni.
Sasa Rais hana muda huo mchafu wa kujibu uzushi na uongo .yupo Bize kuwatumikia watanzania na kuwaletea maendeleo,kazi ambayo ndio tuliyomkabidhi na kumpatia.hatumlipi mshahara kukaa ikulu kwa ajili ya kujibu uzushi wa wanasiasa uchwara wa CHADEMA
Nyerere hakuwa kiongozi wa viwango vya kupigiwa mfano. Alikuwa moja ya madikteta wabaya sana. Ni vile tu alitawala enzi za giza.Nyerere katika utawala wake alifuta dewmokrasia ya vyama vingi, Mwinyi alipochukuwa madaraka akaamuwa kurudisha vyama vingi licha ya Watanzania walio wengi kupiga kura ya kukataa vyama vingi.
Unalijuwa hilo?
Kosa moja dogo la kibinadamu hufanyika popote pale.Yeye na team yake wote maziro ndio maana hata wanateua marehemu kushika nafasi!.
Umewahi kuona wapi hiyo.
Mkuu huyo si wakujibiwa bali wa kupuuzwa 🚮🚮Hao mamilioni wapo wapi na umefanya utafiti gani na lini kuwabaini?!
Mataga on fleek,jitahidi kuandika kiswahili kwa ufasahaKiukweli nilisha wai kushangazwa na ukimya wa Samia hasa nilipo angalia mamlaka yake na jinsi watu wanavyo mwongelea na namna wanavyo mwongelea with fear less
Hakili yangu ikaniambia huyu president anakitu Cha ziada zaidi ya jamii yetu unavyo mchukulia
Ana hakili
Ana subila
Anajiamini na ndio maana kafika hapo alipo
Kwa kifupi Samia Ana hueka za kiume japo ni mwanamke
Nime jalibu kum compare na jpm nimejikuta namwona jpm ni samia af Samia ni jpm
Kiukweli president tunae ila wasaidizi zake ni watu wabaya Sana kwake kwani..
Hawapendi mafanikio yake
Hawa pendi kuinuka kwake
Wana chukia juhudi zake kwa inchi na watu wake kwani hawataki aje kuwa mfano kwa vizazi vijavyo
Kiukweli Samia Hana ubaya na Tanzania ila wenye nia mbaya na Tanzania wana jitahidi kumfaya Samia awe mbaya kwa wa tanzania
Asantee sana🙏2025 wapinzani wafanye kazi kubwa sana.
Waarabu wamemwaga pesa n.yingi sana awamu hii .
Awamu iliyopita ilikua ni ubabe mbele awamu hii ni pesa mbele.
Waarabu walitumia pesa kumngoa Lowasa asije akaingia Ikulu kwa hofu ya Loliondo kurudi mikononi mwa Watanganyika na pia kwa kitendo chake cha kupambana mpaka Watanganyika wakaanza kufaidi maji ya Ziwa Victoria Sambamba na waarabu wa Misri.
Akatushiwa kila aina ya Kashfa lakini Watanganyika wakaonyesha kumuunga mkono .
Mwisho ikawa ni kuvuruga uchafuzi kudhibiti mfumo wa kujumlisha matokeo.
Zanzibar Jecha akafuta matokeo kinyume cha katiba .
Watanzania wakaziba makawa wavumilivu.
Sasa watawala wanasahau kuwa nchi sio mali yao binafsi .
Wapinzani waanze na Serikali za mitaa. Hapo iwe ni mguu kwa mguu mkono kwa mkono , moyo kwa moyo ,jicho kwa jicho,jino kwa jino ,moto kwa moto, mlango kwa mlango ,kaburi kwa kaburi, damu kwa damu mpaka matokeo yawe halali. Hii mambo ya aliyeshinda kihalali analia na aliyeshindwa kihalali anacheka na kupigiwa makofi na heshima huku mshindi halali akiwa anadhalilishwa inabidi yafikie mwisho .
Watawala wakipatikana kihalali nchi inapata furaha na amani ya kweli na kila mtu anawajibika kwa nafasi yake .
Hatuwezi kumkumbuka n'goo labda kwa kutupotezaNipo toka utawala wa Nyerere sasa hivi ni mstaafu. Sijawahi kuona hata siku moja watu wakisema maisha ni mepesi.
Kila siku watu husema bora ya jana kuliko ya leo.
Huyu Samia mnayembeza mtakuja kumkumbuka sana. Mark this post
Kambale hawauzwi hiyo Bei weweeMataga on fleek,jitahidi kuandika kiswahili kwa ufasaha
Ana=❌
Hana=✅
Wewe ndiyo lijinga sana weweWewe ni mjinga kweli Urais ni ajira na ajira ni kwa maslahi ya Rais na familia yake siyo maslahi yako na famila yako tafuta ajira na wewe yenye maslahi kwako na familia yako,acha uninga jingeze