Pre GE2025 Kwa Rais Samia kujifanya "Chura kiziwi" ni dharau kwa watanzania. Kwani yupo Ikulu kwa maslahi ya akina nani?

Pre GE2025 Kwa Rais Samia kujifanya "Chura kiziwi" ni dharau kwa watanzania. Kwani yupo Ikulu kwa maslahi ya akina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mamilioni ya watanzania wanamuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi.hawataki kuona Rais wetu akijibu uzushi ,utoto utoto na uongo wa kupikwa unaokuwa ukitolewa na wanasiasa uchwara waliofirisika na kuishiwa hoja. Wapinzani janja yenu mlitaka muwe mnazusha vitu vya uongo ili muwe mnajibiwa kuwaweka midomoni.

Sasa Rais hana muda huo mchafu wa kujibu uzushi na uongo .yupo Bize kuwatumikia watanzania na kuwaletea maendeleo,kazi ambayo ndio tuliyomkabidhi na kumpatia.hatumlipi mshahara kukaa ikulu kwa ajili ya kujibu uzushi wa wanasiasa uchwara wa CHADEMA
Leta ushahidi ni nani anavunga salama sululu mkono? Hayupo isipokuwa kiwete na genge lake kina kin@
 
Suala la Msingi ni kuweka kwenye katiba kipengele cha kumshitaki rais anapofanya kinyume na misingi ya katiba au nchi, mfano kuweka rehani mali za nchi
 
Mnataka ajibu matusi?
Ukiona mtu anatukana ni Dalili kuwa ameishiwa
1: Kaishiwa Majibu--Hana majibu na maswali ni magumu(Hana mantiki)
2: Uwezo wa kufikiri umeisha (Lugha ya ukali inatumika kama defency mechanism aogopwe)
3: Hajui analofanya, Utaelezeaje kitu husichokijua
 
Watanganyika hakikisheni huyu dalali na kibaraka wa waarabu harudi madarakani baada ya October 2025 kabla hajawaingiza kwenye shimo kubwa zaidi ya hili tuliomo.
 
Mamilioni ya watanzania wanamuunga mkono Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi.hawataki kuona Rais wetu akijibu uzushi ,utoto utoto na uongo wa kupikwa unaokuwa ukitolewa na wanasiasa uchwara waliofirisika na kuishiwa hoja. Wapinzani janja yenu mlitaka muwe mnazusha vitu vya uongo ili muwe mnajibiwa kuwaweka midomoni.

Sasa Rais hana muda huo mchafu wa kujibu uzushi na uongo .yupo Bize kuwatumikia watanzania na kuwaletea maendeleo,kazi ambayo ndio tuliyomkabidhi na kumpatia.hatumlipi mshahara kukaa ikulu kwa ajili ya kujibu uzushi wa wanasiasa uchwara wa CHADEMA
Kabla sijasoma jina nilipo soma maoni haya nikajua ni bby wake ephen_ kwenye uchawa wake 😁😂
 
Nyerere katika utawala wake alifuta dewmokrasia ya vyama vingi, Mwinyi alipochukuwa madaraka akaamuwa kurudisha vyama vingi licha ya Watanzania walio wengi kupiga kura ya kukataa vyama vingi.

Unalijuwa hilo?
Nyerere hakuwa kiongozi wa viwango vya kupigiwa mfano. Alikuwa moja ya madikteta wabaya sana. Ni vile tu alitawala enzi za giza.

Kwahiyo siyo kila alichofanya Nyerere kinafaa kutumika kama rejea.
 
Yeye ameziba masikio Kwa sababu hakuna mtanzania hata mmoja aliyemchagua isipokuwa amerithishwa urithi kutokana na katiba mbovu iliyopendekezwa na wabunge wa chama kimoja Kwa maslahi Yao binafsi na siyo ya umma.hivyo,ni halali yake kuziba.lakini wtz tukiungana hayo masikio yake tutayazibua hata kwa fimbo.
 
Kiukweli nilisha wai kushangazwa na ukimya wa Samia hasa nilipo angalia mamlaka yake na jinsi watu wanavyo mwongelea na namna wanavyo mwongelea with fear less

Hakili yangu ikaniambia huyu president anakitu Cha ziada zaidi ya jamii yetu unavyo mchukulia

Ana hakili

Ana subila

Anajiamini na ndio maana kafika hapo alipo

Kwa kifupi Samia Ana hueka za kiume japo ni mwanamke

Nime jalibu kum compare na jpm nimejikuta namwona jpm ni samia af Samia ni jpm

Kiukweli president tunae ila wasaidizi zake ni watu wabaya Sana kwake kwani..

Hawapendi mafanikio yake

Hawa pendi kuinuka kwake

Wana chukia juhudi zake kwa inchi na watu wake kwani hawataki aje kuwa mfano kwa vizazi vijavyo

Kiukweli Samia Hana ubaya na Tanzania ila wenye nia mbaya na Tanzania wana jitahidi kumfaya Samia awe mbaya kwa wa tanzania
Mataga on fleek,jitahidi kuandika kiswahili kwa ufasaha
Ana=❌
Hana=✅
 
2025 wapinzani wafanye kazi kubwa sana.

Waarabu wamemwaga pesa n.yingi sana awamu hii .

Awamu iliyopita ilikua ni ubabe mbele awamu hii ni pesa mbele.

Waarabu walitumia pesa kumngoa Lowasa asije akaingia Ikulu kwa hofu ya Loliondo kurudi mikononi mwa Watanganyika na pia kwa kitendo chake cha kupambana mpaka Watanganyika wakaanza kufaidi maji ya Ziwa Victoria Sambamba na waarabu wa Misri.
Akatushiwa kila aina ya Kashfa lakini Watanganyika wakaonyesha kumuunga mkono .

Mwisho ikawa ni kuvuruga uchafuzi kudhibiti mfumo wa kujumlisha matokeo.

Zanzibar Jecha akafuta matokeo kinyume cha katiba .
Watanzania wakaziba makawa wavumilivu.

Sasa watawala wanasahau kuwa nchi sio mali yao binafsi .

Wapinzani waanze na Serikali za mitaa. Hapo iwe ni mguu kwa mguu mkono kwa mkono , moyo kwa moyo ,jicho kwa jicho,jino kwa jino ,moto kwa moto, mlango kwa mlango ,kaburi kwa kaburi, damu kwa damu mpaka matokeo yawe halali. Hii mambo ya aliyeshinda kihalali analia na aliyeshindwa kihalali anacheka na kupigiwa makofi na heshima huku mshindi halali akiwa anadhalilishwa inabidi yafikie mwisho .

Watawala wakipatikana kihalali nchi inapata furaha na amani ya kweli na kila mtu anawajibika kwa nafasi yake .
Asantee sana🙏
 
Nipo toka utawala wa Nyerere sasa hivi ni mstaafu. Sijawahi kuona hata siku moja watu wakisema maisha ni mepesi.

Kila siku watu husema bora ya jana kuliko ya leo.

Huyu Samia mnayembeza mtakuja kumkumbuka sana. Mark this post
Hatuwezi kumkumbuka n'goo labda kwa kutupoteza
 
Wewe ni mjinga kweli Urais ni ajira na ajira ni kwa maslahi ya Rais na familia yake siyo maslahi yako na famila yako tafuta ajira na wewe yenye maslahi kwako na familia yako,acha uninga jingeze
Wewe ndiyo lijinga sana wewe
Utumishi au utumwa au ajira
Ni kwa maslahi ya aliyekuajiri suala la wewe unalipwa nini ni baada ya vigezo na masharti kuzingatiwa leo siyo faida yako wewe na familia bado kwa faida ya boss wako
 
Back
Top Bottom