Kwa ramani hii mkoa wa Chato utatokea wapi?

Kwa ramani hii mkoa wa Chato utatokea wapi?

Jamhuri ya watu wa chattle ilifeli mapema sanaaaa maana mwendazake alitaka kuijipatia taifa lake kabisa. Na imagine Nyerere angekua mbinafsi na mchuki mkuu namna ile Butiama ingekua kama NY kabisa, ROT in hell Meko
 
Kwakweli Ni Kama kuchezea Kodi tu
Kuna vigezo vinavyotumika na si kuomba na kupewa tu, kama wanakidhi vigezo watapewa kama hawakidhi hawatapewa, kwanini kuanza kupiga ramli na kubishana wakati kuna vigezo au vipimo vinavyotumika kugawa mikoa. Wakati mwingine tunatumia nguvu nyingi kubishana bila kutumia busara na hekima wakati kuna vigezo vya kugawa mikoa.
 
Sijajua kwanini Mwendazake alikazania kuipandisha hadhi Chato kwa kasi namna ile, kwa jicho la mbali nik kama Chato ilikuwa inakwenda kudai mamlaka kamili vile[emoji38][emoji28][emoji23][emoji1787]kama maswahiba Burundi na Rwanda
'Charite biginzi eti hom' walishaga sema.

Kwani mkuu wewe tukikuchunuku 'usamia'
Hautajali kwenu huko sangamwalhughusha?
 
Mkoa wa Geita ubadilishwe jina na makao makuu ya mkoa yawe chato mkoa wa kagera umegwe kusini kujazia Chato baada ya hapo upande wa kaskazini wa mkoa wa Tabora umegwe kipande uwe sehemu ya mkoa wa shinyanga
 
Hakuna TATHMINI yoyote iliyofanywa ya kugawa mkoa mmoja ukawa miwili. Ni KUKURUPUKA tu na kuwaongezea walipa kodi gharama kubwa za uendeshaji ikiwemo mishahara ya Wakuu wa Mikoa mipya na gharama nyingine chungu nzima huku wakazi wa mikoa husika wakiwa hawaoni tija yoyote ile.
 
Sijajua kwanini Mwendazake alikazania kuipandisha hadhi Chato kwa kasi namna ile, kwa jicho la mbali nik kama Chato ilikuwa inakwenda kudai mamlaka kamili vile[emoji38][emoji28][emoji23][emoji1787]kama maswahiba Burundi na Rwanda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna vigezo vinavyotumika na si kuomba na kupewa tu, kama wanakizi vigezo watapewa kama hawakizi hawatapewa, kwanini kuanza kupiga ramli na kubishana wakati kuna vigezo au vipimo vinavyotumika kugawa mikoa. Wakati mwingine tunatumia nguvu nyingi kubishana bila kutumia busara na hekima wakati kuna vigezo vya kugawa mikoa.
Inaandikwa ''wanakidhi''. Wewe unakazania wanakizi, wanakizi. Unamaliza darasa la saba huku hujui kuandika maneno ya kiswahili? BTW watu wengi wasiojua kuandika maneno kwa ufasaha hata hoja zao ni za kijinga kabisa.
 
Hakuna TATHMINI yoyote iliyofanywa ya kugawa mkoa mmoja ukawa miwili. Ni KUKURUPUKA tu na kuwaongezea walipa kodi gharama kubwa za uendeshaji ikiwemo mishahara ya Wakuu wa Mikoa mipya na gharama nyingine chungu nzima huku wakazi wa mikoa husika wakiwa hawaoni tija yoyote ile.
Kuna vigezo vinavyotumika kugawa mkoa na siyo kupinga bila kutoa ushahidi wa vigezo kama havijafikiwa.
 
Inaandikwa ''wanakidhi''. Wewe unakazania wanakizi, wanakizi. Unamaliza darasa la saba huku hujui kuandika maneno ya kiswahili? BTW watu wengi wasiojua kuandika maneno kwa ufasaha hata hoja zao ni za kijinga kabisa.
Hapa tunaeleweshana vigezo vinavyotumika kugawa mkoa na si kushindana kwa kutukanana kama unavyofanya. Kama huwezi kushindana kwa hoja basi kaa kimya.
 
Aisee! Asante kwa kuja na kielelezo cha ramani. Hata huko TAMISEMI hebu waliangalie hili.

Kuna mikoa mikubwa kuliko hiyo wilaya ya Chato.

Tutaitumia hii ramani kupinga uanzishwaji wa mkoa wa Chato!
Na ramani hii tutaitumia kupinga kila namna ya upendeleo utakaotaka kufanywa kwenye hiyo kitu ya kuitwa Chato, maana ilikua inageuka kua CHATU!
 
Back
Top Bottom