Uchaguzi 2020 Kwa rhetoric kama hizi, uwezekano wa jina lake kutokuwepo kwenye ballot paper unazidi kuongezeka

Oh yeah, kura lazima nipige.
 
Mtu wa Kwanza muhimu aliyetakiwa kutoa maelezo ni nani? Je katoa maelezo? Kama hajatoa ni kwa nini? Msitufanye wote wapuuzi, risasi mmempiga wenyewe. Nitabaki kuwa msomaji katika huu uzi,
Wangekufa wote nani angetoa taarifa na wale wanaokutwa wamekufa waga wanasubiriwa waje wafufuke siku ya kiama ndio uchunguzi uanze.! Bangi daima itabaki kuwa shida tu.
 
Wangekufa wote nani angetoa taarifa na wale wanaokutwa wamekufa waga wanasubiriwa waje wafufuke siku ya kiama ndio uchunguzi uanze.! Bangi daima itabaki kuwa shida tu.
Hawakufa, mnawapangia kazi polisi [emoji2][emoji2][emoji2] imekula kwenu, bangi unavuta wewe na Mchomvu, Mimi naona picha ya Jani hata yenyewe siijui
 
Hivi nani anaijua idadi kamili ya hizo risasi? 2017 zilikua 32 2020 ni risasi 16 zingine hazikuingia mwilini?
On 7 September, my dear friend and former colleague, Member of Parliament Tundu Lissu, was shot as he was returning home from a parliamentary session in Dodoma, the capital of Tanzania. Gunmen sprayed his car with as many as 32 bullets, hitting him five times, in the stomach, arm and leg. Lissu was rushed to the local hospital in critical condition and, once stable, airlifted to Nairobi for the best care and protection where he is still recovering.

Showered with 16 bullets to his body in broad daylight, Tundu Lissu, Tanzania’s most outspoken MP and a vocal critic of the Tanzanian government has survived to tell the tale of an event that got him bedridden for more than 12 months.


Labda daktari hakuzihesabu vizuri siku ya kwanza, ama wanaotoa idadi ambao ni rafiki zake wanajua idadi kamili ya risasi zilizotumika.
 
Usijitoe ufahamu .

Elewa unachoelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa unazeeka vibaya sana

Exposure yote 'USA Babby',lakini unakuwa kama 'Bushman'..
 
Hawakufa, mnawapangia kazi polisi [emoji2][emoji2][emoji2] imekula kwenu, bangi unavuta wewe na Mchomvu, Mimi naona picha ya Jani hata yenyewe siijui
Kuzunguka mbuyu kote huko ya nini? Serikali imeshindwa kujichunguza.
That's the plain and bitter truth. Period.
 
Lissu zaidi ya sheria hana jipya. Anazidiwa nguvu na kiburi cha kisomi. JPM pia sio mzuri sana kwenye siasa lakini angalau anajitahidi sana kwa kujishusha anapokuwa mbele za watu.
 
Mtaongea lugha zote this time around [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... We'll vote for TAL
 
Hakuna sababu yoyote ya kumuengua lisu zaidi ya uhuni tu
 
Imagine hapo upo ulaya lakin ufaham ni shimo la choo.We kiaz kutwa lissu utafikiri mke aliyekuacha
 
Lissu Rais ajaye , upende usipende na kwa namna yoyote , Liwalo na liwe
 
I warned y’all, albeit in a roundabout kinda way...
 
Kwahiyo hayo ni matusi?
Kuwa kiongozi wa "Hovyo hovyo" ni pamoja na kufanya vitu bila mipango madhubuti mfano kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa sehemu ambayo hauhitajiki hata kidogo, yani hakuna maana yoyote ya huo uwanja wa kimataifa kuwepo hapo!
Nyie machizi kweli, kwahiyo uwanja mnaungalia leo hamuangalia mbele kuwa una manufaa makubwa kiuchumi kwa kufunguliwa North West tourism corridor, ninyi washamba kweli sijui hata kilichowakurupusha kuomba urais ni nini
 
Kwani Lisu ni ngosha I mean from clan point of view na yeye si non living thing jiwe maneno makalu hapo ni hapi.... ngosha ni neno la kisukuma
Unajua maana ya ngosha?
 
Nyani Ngabu namsikitikia mzee Ngabu ngalao angetumia kinga huenda labda angezaa Sokwe lenye akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…