Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnamuongelea nani?Nyani inaelekea joto sasa limekuzidi. Posts zako kibao kumuongelea Lissu.
Mtanyoka mwaka huu.
Ana uhakika kapigwa na yeye? Kwanini asihisi ni kwenye chama chake? Anafikiri wote wanampenda? Je wale aliowadanganya atakuwa nao bega Kwa bega kulinda maslahi yao na wakaona uwezekano wa kushindwa ni mkubwa kuliko kushinda kama ilivyotokea, hivi mtu mwenye kazi yake angemwaga risasi zaidi ya 30, risasi moja au mbili singetosha kabisa kumrestisha in peace. Kakwaruza kwaruza mlango wa gari namlengo hasa lilikuwa hilo Bahati mbaya zikamwingia. Ati watu wanaamini [emoji2][emoji2][emoji2] Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini hilo.Hata kama ningekuwa Mimi ningetoa lugha kali kila nikiongea kama ulinipiga risasi 38 nikapona iweje nikuchekee hakuna cha kulemba Tena Lissu bado hajaongea mambo mazito Kuna mambo mengi bado yanatakiwa yakemewe Sana ya kupumbavu kwenye utawala wa Magufuli.
Kama anatukana wenzake anaogopa nini kutukanwa yeye yeye ni Nani hasa asisemwe huwezi kuwa Rais ukafikiria ni lelemama tu hata Kama unafanya maovu..
Lazima watu wakuchambue watakavyo.
Tatizo ni kama hatujuani tabia, watanzania tunapenda Sana matukio, walikwenda kumshangaa.Unajua kuwa ethiopian airlines ilipata shida ikatua kisongo airport arusha na kuhatarisha usalama wa watu sababu uwanja ulikuwa mdogo?
Hawaendagi kupiga Kura hao halafu wanakuwa wa kwanza kulalamika kaonewaKamanda umejiandikisha kupiga kura?
Hapo kampeni sijui dirisha la kampeni likifunguliwa itakuajeNi kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Sio kujiandikisha mkuu, ila kuhakiki nimehakiki. Sie wengine ni vijana wa zamani. Wewe je, utakuja tz kupiga kura? Maana sidhani kama Tanzania ina mpango wa kupigisha kura ughaibuniKamanda umejiandikisha kupiga kura?
Nimesema kuna tusi?Mkuu, hapo tusi lipo wapi??
Jina la JiWE mh. Pombe alijibambikia mwenyewe. Ngosha kwa kisukuma ni mwanaume.
We nyani huna jipya, unasumbuliwa na ukabila, pamoja na chuki kubwa mno kwa mh. Lissui
Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Typical kamanda!Ni wewe unaona hivyo kwa sababu mtu wako hana hoja. Lissu anaongea kawaida sana. BTW unataka kujitoa ufahamu na kujifanya hujui ni nini maana ya kupigana vijembe kwenye siasa? Kuna nchi yenye kuongeza kwa wagombea wa urais wenye vijembe kama USA?
We kamanda umekielewa kweli nilichokiandika au unafuata mkumbo tu?Mtoa mada TATIZO lako ni Ile kushikishwa ukuta na wazungu...... hakika wazungu sio watu