Kwa ruzuku na pesa wanazopata ACT Wazalendo nilitegemea hawa wanachama wao walio na umasikini mkubwa wajengewe nyumba

Kwa ruzuku na pesa wanazopata ACT Wazalendo nilitegemea hawa wanachama wao walio na umasikini mkubwa wajengewe nyumba

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Huu ni umasikini uliokithiri

20231118_174505.jpg
 
Mweka mada wewe ni fala na hujui propaganda na namashaka na afya yako ya akili
 
Ingekuwa kuwa na akili ni dhambi, mleta mada angekuwa mtakatifu
 
Pesa ndiyo hiyo tunalipa wake wa viongozi, unategemea umaskini uishe?
 
Back
Top Bottom