Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Chanzo kinasema kumekuwa na maneno ya chini chini hasa Dr. Mshindo Msolla akiona kama Hersi anajipigia Kampeni aje agombee nafasi ya Uenyekiti. Hivyo amekuwa kimbelembele sana kwenye mambo yanayohusu Yanga hata kama si ya Ngazi yake.
Ugomvi wao ulianzia kwenye hii picha kila mmoja akitaka awepo na Dr. Msolla akasema Mwenyekiti anakosekanaje kwenye picha. Wengine wakawa wao wanawahi picha ipigwe ndo Hersi akaamua kukaa pembeni kuepusha msongamano.
Ugomvi wao ulianzia kwenye hii picha kila mmoja akitaka awepo na Dr. Msolla akasema Mwenyekiti anakosekanaje kwenye picha. Wengine wakawa wao wanawahi picha ipigwe ndo Hersi akaamua kukaa pembeni kuepusha msongamano.