TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Hasa kwa wazushi wanaotaka kuchongea idara z usalama kwa maneno ya kutungaAisee, dunia sio sehemu salama ya kuishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa kwa wazushi wanaotaka kuchongea idara z usalama kwa maneno ya kutungaAisee, dunia sio sehemu salama ya kuishi.
Si ndio maana kapelekwa Mahakamani na uzuri TUHUMA/KOSA lake lina dhamana..kwa hali ya sasa ni kama anahukumiwa kabla Mahakama haijamtia hatiani..tuheshimu Katiba na sheria za nchiJe, ni Sheria ipi ilimruhusu slaa kuandika uongo juu Rais na mbowe?
Ukiua kwa upanga unauawa kwa upanga.
Sawa. Kila mtu akifanya kosa lazima uadhibiwe. Hakuna cha umri, ugonjwa wala fame au status.. sote tutahukumiwa kwa matendo yetu.Uzuri hayo unayoyaomba huwa hayachagui mtu,unaweza kujiona uko salama sana kumbe ni swala la muda tu
Hakuna aliyemnyima dhamana, dhamana yake ipo wazi.Si ndio maana kapelekwa Mahakamani na uzuri TUHUMA/KOSA lake lina dhamana..kwa hali ya sasa ni kama anahukumiwa kabla Mahakama haijamtia hatiani..tuheshimu Katiba na sheria za nchi
Kuna maelfu ya watu kama shaibu Slaa wako mahabusu hawasemewi.Hakuna aliyemnyima dhamana, dhamana yake ipo wazi.
Mashauri ya kisheria ya kesi yake yakiisha atapata dhamana.
Halafu, mbona alipowekwa jela yule mmiliki wa mabibo bia and wine na yule mwenzake hamkupiga kelele? Hawakuwa wazee? Hawakuwa wagonjwa?
Kazoea kusingizia idaraSi ndio maana kapelekwa Mahakamani na uzuri TUHUMA/KOSA lake lina dhamana..kwa hali ya sasa ni kama anahukumiwa kabla Mahakama haijamtia hatiani..tuheshimu Katiba na sheria za nchi
Hiyo huwezi sikiaKuna maelfu ya watu kama shaibu Slaa wako mahabusu hawasemewi.
Sababu alizozitoa huyo Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umezielewa kweli?..kukata rufaa kwa Serikali kwenye ngazi nyingine kuna mzuia vipi Hakimu kutoa dhamana..nadhani kuna nia OVUHakuna aliyemnyima dhamana, dhamana yake ipo wazi.
Mashauri ya kisheria ya kesi yake yakiisha atapata dhamana.
Halafu, mbona alipowekwa jela yule mmiliki wa mabibo bia and wine na yule mwenzake hamkupiga kelele? Hawakuwa wazee? Hawakuwa wagonjwa?
Au nyie ni waumini wa haki za upendeleo? "Huyu mupe huyu muruke"
Mahakama bado haijamtia HATIANI lakini..ni kama anahukumiwa kabla ya Mahakama..sio sawaKazoea kusingizia idara
Acha aitumikie sasa
Hiyo rufaa ikikubaliwa na hiyo mahakama ya juu wakati hakimu wa mahakama ya chini keshampa dhamana utafikiri nini kitatokea?Sababu alizozitoa huyo Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umezielewa kweli?..kukata rufaa kwa Serikali kwenye ngazi nyingine kuna mzuia vipi Hakimu kutoa dhamana..nadhani kuna nia OVU
Pia mimi simtetei Slaa kupata Dhamana ati kwa kuwa ni Mzee ..laa hasha..mimi naamini mtu yeyote ana haki ya kupata dhamana ( kwa makosa yote yenye dhamana kwa mujibu wa Katiba) bila kujali jinsi,umri, kabila wala rangi
Mbona hujiulizi what if hiyo RUFAA ya Serikali ikatupwa?..Hiyo rufaa ikikubaliwa na hiyo mahakama ya juu wakati hakimu wa mahakama ya chini keshampa dhamana utafikiri nini kitatokea?
24/7 mnahukumu humu jamvini kabla ya mahakama…Mahakama bado haijamtia HATIANI lakini..ni kama anahukumiwa kabla ya Mahakama..sio sawa
Mdomo huu ni hatari!Wakuu,
Mwanasiasa na mwanaharakati mashuhuri, Dkt. Wilbrod Peter Slaa, ameomba Mahakama ya Rufaa ya Tanzania impatie dhamana akisubiri rufaa yake ya jinai kusikilizwa.
Ombi hili limewasilishwa chini ya hati ya dharura kubwa na wakili wake, Hekima Mwasipu, likieleza kuwa Dkt. Slaa amewekwa rumande kinyume cha sheria na kwamba afya yake inaendelea kuzorota akiwa gerezani.
Kwa mujibu wa Mwasipu, Dkt. Slaa anashikiliwa katika Gereza la Keko bila msingi wowote wa kisheria, licha ya kuwa kosa linalomkabili linastahili dhamana.
"Mteja wangu amenyimwa haki yake ya msingi kwa kuwekwa mahabusu bila sababu za kisheria kwa kosa ambalo kimsingi ni la kudhaminika," amesema Mwasipu katika maombi rasmi kwa Mahakama ya Rufaa.
Wakili huyo ameeleza zaidi kuwa afya ya Dkt. Slaa ni mbaya na kwamba kuendelea kwake kubaki gerezani kunahatarisha maisha yake.
"Mgonjwa anapaswa kupata matibabu sahihi, na kuzuiliwa kwake gerezani bila uhalali wowote wa kisheria ni sawa na kuhatarisha maisha yake bila sababu," ameandika katika ombi hilo.
Katika maombi yake, Mwasipu amesisitiza kuwa Mahakama ya Rufaa inapaswa kushughulikia suala hili kwa haraka kutokana na athari zisizoweza kurekebishwa endapo mteja wake ataendelea kuzuiliwa.
"Kufungwa kwa Dkt. Slaa katika Gereza la Keko ni kitendo kinachosababisha madhara yasiyorekebishika. Kwa misingi hiyo, tunaiomba Mahakama itoe uamuzi wa haraka juu ya maombi haya ya dhamana," amehitimisha.
Swala siyo rufaa kukubaliwa au kutupwa.Mbona hujiulizi what if hiyo RUFAA ya Serikali ikatupwa?..
Huyo muNGU wenu naye atapita tu kama moshi .Atanyauka kama maua. Ubaya wake hautakumbukwa milele .Mwacheni asote kwanza hadi pale atakapotambua kwamba Urais hauchezewi
ni vizuri huyo mzee akatibiwa akiwa huko huko korokoroni tuWakuu,
Mwanasiasa na mwanaharakati mashuhuri, Dkt. Wilbrod Peter Slaa, ameomba Mahakama ya Rufaa ya Tanzania impatie dhamana akisubiri rufaa yake ya jinai kusikilizwa.
Ombi hili limewasilishwa chini ya hati ya dharura kubwa na wakili wake, Hekima Mwasipu, likieleza kuwa Dkt. Slaa amewekwa rumande kinyume cha sheria na kwamba afya yake inaendelea kuzorota akiwa gerezani.
Kwa mujibu wa Mwasipu, Dkt. Slaa anashikiliwa katika Gereza la Keko bila msingi wowote wa kisheria, licha ya kuwa kosa linalomkabili linastahili dhamana.
"Mteja wangu amenyimwa haki yake ya msingi kwa kuwekwa mahabusu bila sababu za kisheria kwa kosa ambalo kimsingi ni la kudhaminika," amesema Mwasipu katika maombi rasmi kwa Mahakama ya Rufaa.
Wakili huyo ameeleza zaidi kuwa afya ya Dkt. Slaa ni mbaya na kwamba kuendelea kwake kubaki gerezani kunahatarisha maisha yake.
"Mgonjwa anapaswa kupata matibabu sahihi, na kuzuiliwa kwake gerezani bila uhalali wowote wa kisheria ni sawa na kuhatarisha maisha yake bila sababu," ameandika katika ombi hilo.
Katika maombi yake, Mwasipu amesisitiza kuwa Mahakama ya Rufaa inapaswa kushughulikia suala hili kwa haraka kutokana na athari zisizoweza kurekebishwa endapo mteja wake ataendelea kuzuiliwa.
"Kufungwa kwa Dkt. Slaa katika Gereza la Keko ni kitendo kinachosababisha madhara yasiyorekebishika. Kwa misingi hiyo, tunaiomba Mahakama itoe uamuzi wa haraka juu ya maombi haya ya dhamana," amehitimisha.
