Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Wote mnakumbuka miaka ile ya 90 jinsi komandoo Muhidini Ndolanga alivyokuwa anashinda chaguzi za FAT against all odds!
Licha ya nchi nzima kumpinga pamoja na Serikali Chini ya waziri Juma Kapuya, kumpinga lakini baada ya kila uchaguzi Ndolanga alikuwa akiibuka Kidedea!
Wengi hawakuelewa siri ilikuwa nini, wengine wakadiriki kudhani ni uchawi!
Siri ni kuwa idadi ya wapiga kura ni wachache wanajulikani well in advance na mgombea ana muda wa miaka minne kumshawishi mjumbe !
Na hili Malinzi kalifanya kwa umahiri mkubwa! wale wajumbe walikuwa na roster ya kuja Dar kula bata kwa gharama za Malinzi!
Sioni namna Ally Mayai ataepuka kikombe hiki!
Licha ya nchi nzima kumpinga pamoja na Serikali Chini ya waziri Juma Kapuya, kumpinga lakini baada ya kila uchaguzi Ndolanga alikuwa akiibuka Kidedea!
Wengi hawakuelewa siri ilikuwa nini, wengine wakadiriki kudhani ni uchawi!
Siri ni kuwa idadi ya wapiga kura ni wachache wanajulikani well in advance na mgombea ana muda wa miaka minne kumshawishi mjumbe !
Na hili Malinzi kalifanya kwa umahiri mkubwa! wale wajumbe walikuwa na roster ya kuja Dar kula bata kwa gharama za Malinzi!
Sioni namna Ally Mayai ataepuka kikombe hiki!