Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Clouds usiwape utukufu kiivyo sasa mbona dauda hua anakosa hata huo ujumbe kama kweli hawashindwi?clouds hawajawahi kushindwa jambo wakiamua Labda kwa hili itakuwa Mara ya kwanza na sidhani, Mayai Analijua soka LA bongo na figisu figisu zake najua hajakurupuka Hata kama ni pingamizi najua atashinda hata Malinzi mwenyewe alikuwa Ameshakatwa Kipindi kile Lakini HAWA clouds walikuwa upande wake nadhani unajua kipi kilitokea Huu ni muda wa mabadiliko makubwa na ya kustua yuko wapi nguli Blattar?? Yuko wapi Issah Ayattoh? Muda wa mabadiliko umefika Malinzi arudi kwenye ndondi ndo fan yake siyo football
Mkuu naomba kufahamu Clouds wapo upande upi kati ya Mayai & Malinzi?clouds hawajawahi kushindwa jambo wakiamua Labda kwa hili itakuwa Mara ya kwanza na sidhani, Mayai Analijua soka LA bongo na figisu figisu zake najua hajakurupuka Hata kama ni pingamizi najua atashinda hata Malinzi mwenyewe alikuwa Ameshakatwa Kipindi kile Lakini HAWA clouds walikuwa upande wake nadhani unajua kipi kilitokea Huu ni muda wa mabadiliko makubwa na ya kustua yuko wapi nguli Blattar?? Yuko wapi Issah Ayattoh? Muda wa mabadiliko umefika Malinzi arudi kwenye ndondi ndo fan yake siyo football
Mayai ana nini cha ziada kwenye uongozi?Mayai asipopata urais atapewa hata ujumbe kwenye bodi ya ligi
Chaguo lao. Watu wa malinzi wametulia tuliii.mbona wagombea wako kibao tu kwann mnamjadili mayai peke yake?
Ni kijana ambaye anaonekana ni potential zaidi ya hili lizee la KIHAYA.mbona wagombea wako kibao tu kwann mnamjadili mayai peke yake?
Huyo malinzi si aliharibu ndondi huyo halafu tena ni power monger Mara ndondi ,Mara basket Mara mpira haelewekiMayai ana nini cha ziada kwenye uongozi?
kanishangaza kweliClouds usiwape utukufu kiivyo sasa mbona dauda hua anakosa hata huo ujumbe kama kweli hawashindwi?