Subiri muda wa kampeni ufike. Malinzi atakosa pa kutokeaMkuu naomba kufahamu Clouds wapo upande upi kati ya Mayai & Malinzi?
Wanashugulikaje pia kutoa support na kumpromote huyo walie upande wake?
Ahsante.
Mm nawashangaa wanaompa ushindi Mayay, hawezi kushinda labda Malinzi hajitoe. Hata Malinzi asingeshinda km Tenga angegombea.
Nani anafaa kuwa Rais wa TFF? - Poll on StrawPoll.com bofya link kupiga kuraMayay amefanya vizur kujitokeza sasa kitu ambacho kitampa uzoefu ili uchaguzi mwingine atakuwa mikakati murua zaidi
Kura kama hizi zilituambia Hillary Clinton ni rais wa Marekani.Nani anafaa kuwa Rais wa TFF? - Poll on StrawPoll.com bofya link kupiga kura