Mkuu kwa midfield ya psg aisee hapa hujawatendea haki.
Gueye
Verrati
Serabia
Mourinqoh
Herrera
Hapana mkuu. Hii ndio best midfield ya uerope.
Angalia game ya real madrid jinsi casemiro na kloose walivyo mezwa na gueye.
Kuhusu kubeba uefa hapa sina lakusema ila wana squad nzuri saana. Nakubaliana na wewe kuhusu kocha. Tuchel ni mdogo kuliko wachezaji
Punguza mihemko mkuu. Best in Europe? Ukimuondoa Veratti waliobakia ni wachezaji wakawaida tu, Marqinious ni mzuri ila ana straggle kwenye tough games. Na Herrera huyu hata Man Utd namba ilimshinda unasema ni best in Europe?
Real Madrid wamekua kwenye hali mbaya toka msimu uliopita, kuizidi Real Madrid sio kigezo.